2,750 killed in east DR Congo in 2023: NGOs
The United Nations said the crisis was “at its most serious”.
The United Nations said the crisis was “at its most serious”.
Serikali ya Rwanda imekanusha madai ya DR Congo kwamba raia wa Rwanda waliokamatwa mjini Kinshasa walikuwa wakipanga njama ya kuidungua ndege iliyokuwa imembeba rais wa Kongo
The ceasefire took effect in North Kivu province at the weekend following a summit between DR Congo and its neighbour Rwanda
Tangazo hilo linakuja wakati waasi wa M23 wakisonga mbele katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo yenye machafuko ya Afrika
Kundi la M23 ‘March 23 Movement’ lilipata umaarufu wakati liliteka kwa muda mji wa Goma mashariki mwa Congo mwaka 2012 kabla ya kufurushwa katika mashambulizi ya pamoja ya Umoja wa Mataifa na Congo.
Kundi la ADF ni miongoni mwa wanamgambo wenye ghasia zaidi kati ya zaidi ya wanamgambo 120 ambao hupatikana mashariki mwa DRC.
Wataalamu huru wanaoripoti kwa Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walisema Ijumaa kuwa waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji wa mashariki wa Goma, DR Congo
Wiki kadhaa za ghasia zimezua mzozo wa kidiplomasia kati ya DRC na jirani yake Rwanda, ambayo inalaumu kwa kuibuka upya kwa wanamgambo wa waasi wa M23.
Wanamgambo wa M23 waliibuka kutoka kwa uasi wa Watutsi wa Congo mwaka wa 2013 ambao uliungwa mkono na nchi jirani za Rwanda na Uganda wakati huo.
Ofisi ya rais wa Kenya ilisema Alhamisi kwamba viongozi hao walikuwa wakitafuta kuanzisha kikosi cha kikanda ili kukomesha makundi ya waasi wanaoendesha shughuli zao katika eneo hilo.