• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: DR Congo Rwanda tension

General Muhoozi Issues Warning To White Mercenaries In Eastern DRC
Africa International War & Conflicts

General Muhoozi Issues Warning To White Mercenaries In Eastern DRC

Mwanzo EditorDecember 17, 2024December 18, 2024

Muhoozi’s announcement follows after DRC armed forces lost control of Matembe, a town in North Kivu province located on the road to the key commercial hub of Butembo, after clashes broke out Sunday with the M23, according to the local and military sources.

Rwanda inakanusha njama ya kurusha ndege ya Tshisekedi
Africa People Politics

Rwanda inakanusha njama ya kurusha ndege ya Tshisekedi

Joy CheptooJanuary 2, 2023January 2, 2023

Serikali ya Rwanda imekanusha madai ya DR Congo kwamba raia wa Rwanda waliokamatwa mjini Kinshasa walikuwa wakipanga njama ya kuidungua ndege iliyokuwa imembeba rais wa Kongo

UN: Watoto ni kati ya watu 13 waliouawa katika machafuko ya DR Congo wiki hii
East Africa Features Politics

UN: Watoto ni kati ya watu 13 waliouawa katika machafuko ya DR Congo wiki hii

Maureen MedzaJune 23, 2022June 23, 2022

Mapigano yameongezeka katika miezi ya hivi karibuni baada ya waasi wa M23 kuishutumu serikali kwa kushindwa kuheshimu makubaliano ya mwaka 2009 ambapo jeshi lilipaswa kuwajumuisha wapiganaji hao kwenye jeshi.

Wakazi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakataa wazo la jeshi la kikanda
East Africa Features Politics

Wakazi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakataa wazo la jeshi la kikanda

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Kwa wengi katika kanda hiyo, haikuwa wazi jinsi jeshi lolote jipya la kikanda lingeweza kufanikiwa pale ambapo MONUSCO ilishindwa.

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Viongozi wa Afrika Mashariki walikubaliana Jumatatu kutuma kikosi cha kikanda kujaribu kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kutoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano.

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Viongozi wa mataifa saba yanayojumuisha muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana Jumatatu kujadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji
Africa Features Politics

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 waliuteka mji wa Bunagana mashariki mwa jimbo la Kivu Kaskazini

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi
Africa Features People Politics

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imelaumu kuzuka upya kwa ghasia za hivi karibuni za M23 kwa nchi jirani ya Rwanda, na kusababisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili kudorora.

Waasi waua watu 16 katika shambulio la mashariki mwa DR Congo
Africa Features

Waasi waua watu 16 katika shambulio la mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Shambulio hilo lilitokea Jumapili jioni huko Bulongo katika jimbo la Kivu Kaskazini

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo
Africa Features

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Katika shambulio la hivi punde la waasi, watu 16 waliuawa 7 kujeruhiwa na magari yalichomwa wakati wa uvamizi wa usiku katika eneo lenye hali tete la mashariki, Shirika la Msalaba Mwekundu lilisema

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo