• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Islamic state

North Macedonia Officials say Thwart Terror Plot
Crime & Justice International

North Macedonia Officials say Thwart Terror Plot

Mwanzo EditorDecember 16, 2024December 17, 2024

The four were detained in separate raids across the country on Sunday after authorities were tipped off by messages in a Telegram channel, where one suspect tried to recruit members and purchase firearms.

Watu wenye silaha wameua takriban raia 20 nchini Mali
Africa Features Politics

Watu wenye silaha wameua takriban raia 20 nchini Mali

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Afisa mmoja wa eneo hilo alilaumu mashambulizi hayo kwa wanajihadi na kusema idadi ya waliouawa walikuwa 24, akisema mauaji hayo yalitokea Ebak, takriban kilomita 35 kaskazini mwa Gao, mji mkuu wa mkoa huo.

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79
Africa Features People Politics

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso
Africa Features Politics

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Burkina Faso imetikiswa na uvamizi wa wanajihadi tangu 2015, huku vuguvugu hilo likihusishwa na Al-Qaeda na kundi la Islamic State.

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31
Africa East Africa Features Politics

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Uganda ilijiunga na vikosi vya Congo mnamo Novemba 30 katika vita dhidi ya Allied Democratic Forces (ADF), inayotuhumiwa kwa mauaji mashariki mwa DR Congo na milipuko ya mabomu nchini Uganda.

Utawala wa Mali unasema ulifaulu kuzuia jaribio la mapinduzi
Africa Features People Politics

Utawala wa Mali unasema ulifaulu kuzuia jaribio la mapinduzi

Maureen MedzaMay 17, 2022May 17, 2022

Kikosi cha kijeshi cha Mali kilisema kilizuia jaribio la mapinduzi wiki iliyopita lililoongozwa na maafisa wa jeshi na kuungwa mkono na nchi ya Magharibi

Mali:Wanajeshi 27 wauawa katika shambulio la wanajihadi
Africa Features Politics

Mali:Wanajeshi 27 wauawa katika shambulio la wanajihadi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Taifa hilo la Afrika Magharibi limekuwa likipambana na vuguvugu la wanajihadi lenye mafungamano na Al-Qaeda na kundi la Islamic State kwa takriban muongo mmoja.

Watu 10 wauawa katika mashambulizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Africa East Africa Features Politics

Watu 10 wauawa katika mashambulizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Maureen MedzaJanuary 14, 2022January 14, 2022

Mnamo tarehe 30 Novemba, wanajeshi wa Uganda walijiunga na wanajeshi wa Congo katika msako mkali dhidi ya ADF katika eneo la Beni.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo