• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Kesi ya Mbowe

Mbowe na wenzake walivyotoka kwenye kitanzi cha kesi ya Ugaidi
East Africa Features Politics Tanzania

Mbowe na wenzake walivyotoka kwenye kitanzi cha kesi ya Ugaidi

Asia GambaMarch 4, 2022July 2, 2024

Ilikuwa inasubiriwa siku saa na dakika kuweza tu kujua hatma ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu, juu ya kupatikana kwa uhuru wao uliochukuliwa na dola.

Mbowe na wenzake kuanza kujitetea kesho.
East Africa Politics Tanzania

Mbowe na wenzake kuanza kujitetea kesho.

Asia GambaMarch 3, 2022July 2, 2024

Mahakama hiyo Februari 18,2022 iliwakuta na kesi ya kujibu Mbowe na wenzake katika kesi ya ugaidi inayowakabili, hatua ambayo ilikuja baada ya upande wa mashtaka kufunga ushahidi wake kwa kuwaita mahakamani mashahidi 13 kati ya 24 iliokuwa imepanga kuwaita, huku ikitoa vielelezo 39.

Ushahidi wa shahidi mahususi Kesi ya Mbowe wakosekana
Africa

Ushahidi wa shahidi mahususi Kesi ya Mbowe wakosekana

Asia GambaFebruary 16, 2022February 16, 2022

Ni ushahidi wa DCI mstaafu Kamishna Robert Boaz, ambaye ndiye mlalamikaji katika kesi hiyo.

Hatma ya Mbowe na wenzake kujulikana Februari 18
Africa

Hatma ya Mbowe na wenzake kujulikana Februari 18

Asia GambaFebruary 15, 2022February 15, 2022

Mahakama itatoa uamuzi huo iwapo Mbowe ana kesi ya kujibu au la

Shahidi akwamisha kesi ya Mbowe kuendelea.
Africa

Shahidi akwamisha kesi ya Mbowe kuendelea.

Asia GambaFebruary 10, 2022February 10, 2022

Ni baada ya hali yake kiafya kutoimalika na kumfanya kushindwa kufika mahakamani

SHAHIDI AELEZA MIPANGO YA MBOWE KUMDHURU SABAYA
Africa East Africa Politics

SHAHIDI AELEZA MIPANGO YA MBOWE KUMDHURU SABAYA

Asia GambaOctober 27, 2021October 28, 2021

Shahidi wa pili katika kesi ya Uhujumu Uchumi yenye makosa ya Ugaidi ndani yake inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu leo ameileza mahakama jinsi ambavyo Mbowe alivyokua na mkakati wa kutaka kumdhuru aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole.

Mvutano Kesi Ya Mbowe
Africa East Africa

Mvutano Kesi Ya Mbowe

Asia GambaSeptember 16, 2021September 17, 2021

Mvutano umeibuka katika geti la kuingia Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania baada ya baadhi ya viongozi wa CHADEMA, waandishi wa haabri na wanachama wa chama hicho kuzuiwa kuingia ndani ya chumba cha Mahakama.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo