Ziara Za Kifalme Zilizopita Nchini Kenya
Kenya imetembelewa zaidi ya mara kumi na watu tofauti kutoka kwa familia ya kifalme
Kenya imetembelewa zaidi ya mara kumi na watu tofauti kutoka kwa familia ya kifalme
Ubalozi wa Uingereza ulisema ziara hiyo, ambayo inafuatia safari za Ujerumani na Ufaransa mapema mwaka huu, “itaangazia ushirikiano thabiti na wenye nguvu kati ya Uingereza na Kenya”.
Safari hiyo bila shaka itaibua kumbukumbu za mama yake, kwani ni pale ambapo alikuja kuwa Malkia, akiwa na umri wa miaka 25
King Charles III will be crowned alongside wife Camilla on Saturday in a centuries-old ceremony with celebrations marked by pomp and pageantry