Tundu Lissu: hakuna uchaguzi Tanzania bila ya mageuzi kwenye tume ya Uchaguzi
“Mapambano haya yatahitaji baraka za kila mmoja wetu, yatahitaji kila mmoja wetu kuweka mkono wake, kila mmoja kuweka kidogo alichonacho, jambo likapata baraka za wengi linapata baraka za Mungu”.