Marekani Yaripoti Kifo Cha Kwanza Cha Binadamu Kutokana na Homa Ya Ndege
Mgonjwa huyo alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 65 na alikuwa na magonjwa mengine, na alikabiliwa na ugonjwa mbaya wa kupumua unaohusiana na maambukizi ya H5N1.
Mgonjwa huyo alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 65 na alikuwa na magonjwa mengine, na alikabiliwa na ugonjwa mbaya wa kupumua unaohusiana na maambukizi ya H5N1.
Mahakama ya Delaware kwa mara nyingine tena imefutilia mbali malipo ya fidia ya dola bilioni 56 kwa Elon Musk, mtendaji mkuu wa kampuni ya magari ya umeme Tesla.
Wanamgambo wa Taliban washeherekea kuondoka kwa majeshi ya Marekani kwa kufyatua risasi hewani.
Marekani hadi sasa imefaulu kuwahamisha takriban waafghan 4000 na familia zao wanaoshikilia pasipoti za Marekani.