Upinzani nchini Nigeria waandamana kupinga matokeo ya uchaguzi
Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekumbwa na madai ya udanganyifu
Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekumbwa na madai ya udanganyifu
The directive was issued by the Education Commissioner of the ministry, Dr. Lyabwene Mtahabwa to education stakeholders in the country, saying that the implementation should start in March this year
Inadaiwa kuwa Mulanda aliondoka katika stesheni na kueleza wenzake anaelekea chumbani kwake kuchukua koti lake na alipofika kwa nyumba, ugomvi na mpenziwe ukaanza
Amrouche,58, amewai kuitia makali timu ya soka ya Burundi, Equatorial Guinea, Botswana, Libya na Yemen
Lema alikimbia Tanzania Novemba 2020, akiripoti vitisho vya maisha yake kufuatia uchaguzi uliokuwa na utata
Serikali ya Uganda mwezi uliopita iliunda kamati kuchunguza madai ya “kukuzwa” kwa haki za mashoga
Wagombea 18 wanawania kiti cha Urais kumrithi rais anayeondoka Muhammadu Buhari, ila watatu pekee ndio wameonekana kuwa mibabe
Gavana wa Embu Cecily Mbarire ameteuliwa kama mwenyekiti wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Chake rais William Ruto.
Viongozi wa kidini na wale wa kisiasa serikalini wamejitokeza kushtumu uamuzi huo wa mahakama ambao wameutaja kama kinyume na mila na desturi
Kukosekana kwa baadhi ya wapambe wa Raila katika mikutano ya hadhara kumeibua maswali mengi