• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo TV

Injini za Airbus A220-300 zasababisha hasara ya bilioni 127 kila mwaka
East Africa Infrastructure Tanzania

Injini za Airbus A220-300 zasababisha hasara ya bilioni 127 kila mwaka

Asia GambaFebruary 5, 2025

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.

Mwabukusi:TLS haijalamba asali, tutakosoa pale inapobidi
East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Mwabukusi:TLS haijalamba asali, tutakosoa pale inapobidi

Asia GambaFebruary 3, 2025

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwambukusi, amesema kuwa TLS siyo kikundi cha kigaidi bali ni taasisi halali inayofanya kazi kwa mujibu wa sheria, ikiwa na haki ya kuishauri, kupongeza, na hata kuikosoa serikali pale inapobidi.

Rais wa Burundi atahadharisha vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC
Africa East Africa War & Conflicts

Rais wa Burundi atahadharisha vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC

Asia GambaFebruary 1, 2025

Rais wa Burundi atoa onyo kuhusu vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC akisema kuwa vita hivyo vinaweza kusababisha vita vya kikanda.

SADC yatangaza mshikamano na DRC
Africa Social Issues War & Conflicts

SADC yatangaza mshikamano na DRC

Asia GambaFebruary 1, 2025

Mkutano huo ulifanyika baada ya wanajeshi 16 kutoka Afrika Kusini na Malawi, pia wanachama wa SADC, kuuawa katika mapigano ya karibuni karibu na Goma, ambako walikuwa wamepelekwa kama sehemu ya juhudi za kudumisha amani.

Hivi ndivyo Mwanaharakati Maria Sarungi alivyotekwa nchini Kenya
Crime & Justice East Africa Kenya Tanzania

Hivi ndivyo Mwanaharakati Maria Sarungi alivyotekwa nchini Kenya

Asia GambaJanuary 13, 2025

Hii si mara ya kwanza Maria kufatiliwa na watu wanaodaiwa kuwa ni watekaji ambapo wote waliojaribu kumteka wanahusishwa na mamlaka.

LHRC yalaani tukio la kutekwa kwa Katibu Mwenezi wa BAWACHA
Crime & Justice East Africa Tanzania

LHRC yalaani tukio la kutekwa kwa Katibu Mwenezi wa BAWACHA

Asia GambaOctober 21, 2024

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania(LHRC) kimitaka vyombo vya ulinzi na usalama na mamlaka za kisheria kuhakikisha vinafuata sheria pindi vinapomkamata mtu au watu ikiwemo kuwafikisha Mahakamani ndani ya muda unaokubalika kisheria.

Polisi nchini Msumbuji  watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji
Africa Politics

Polisi nchini Msumbuji watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji

Asia GambaOctober 21, 2024

Polisi nchini Msumbiji walitumia gesi ya kutoa machozi leo Jumatatu kutawanya umati mdogo katika mji wa Maputo, ambapo maduka yalikuwa yamefungwa kabla ya maandamano yaliyoandaliwa kupinga udanganyifu wa uchaguzi. 

Zoezi la kuhesabu kura laanza polepole nchini Msumbuji
Africa Politics

Zoezi la kuhesabu kura laanza polepole nchini Msumbuji

Asia GambaOctober 10, 2024

Zaidi ya watu milioni 17 walipiga kura siku ya Jumatano kwa ajili ya uchaguzi wa rais mpya na wabunge katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, ambayo ni miongoni mwa nchi maskini zaidi duniani licha ya kuwa na akiba kubwa ya gesi.

Uganda yathibitisha kesi ya Mpox kwenye gereza
Lifestyle & Health People Uganda

Uganda yathibitisha kesi ya Mpox kwenye gereza

Asia GambaOctober 9, 2024

Kesi ishirini na moja za mpox zimeripotiwa katika eneo la Nakasongola kati ya jumla ya kesi arobaini na moja nchini kote kufikia tarehe 7 Oktoba, kulingana na wizara ya afya.

Kampuni ya Tigo yadaiwa kutoa taarifa za mwanasiasa wa Tanzania Tundu Lissu kabla ya jaribio lake la kuuawa
Africa East Africa Politics Tanzania

Kampuni ya Tigo yadaiwa kutoa taarifa za mwanasiasa wa Tanzania Tundu Lissu kabla ya jaribio lake la kuuawa

Asia GambaSeptember 25, 2024September 25, 2024

Inadaiwa kwamba Tigo ilitoa taarifa  za simu na eneo la Lissu kwa mamlaka za Tanzania kwa muda wote wa saa katika wiki zilizotangulia kabla ya shambulio hilo lililotokea tarehe 7 Septemba 2017. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo