Rais Museveni apiga marufuku kusafiri nje ya nchi kwa wabunge, watumishi wa umma
Rais Museveni ameweka marufuku ya kusafiri nje ya nchi kwa Wabunge na watumishi wa umma ili kuokoa pesa kwa sekta zingine zinazopewa kipaumbele
Rais Museveni ameweka marufuku ya kusafiri nje ya nchi kwa Wabunge na watumishi wa umma ili kuokoa pesa kwa sekta zingine zinazopewa kipaumbele
The Yeti Airlines ATR 72 plummeted into the steep gorge, smashed into pieces and burst into flames as it approached the central city of Pokhara on Sunday morning
Ndege iliyokuwa na watu 72 imeanguka karibu na uwanja wa ndege katikati mwa Nepal
The constitutional expert passed away at her home on Thursday night after suffering a stroke two weeks ago
Viongozi hao wawili walikubaliana kukuza kile Zelenskyy alichoita ‘Mpango wa Nafaka Kutoka Ukraine’ katika mazungumzo ya simu
Uganda siku ya Jumatano ilitangaza kukomesha mlipuko wa virusi vya Ebola vilivyoibuka karibu miezi minne iliyopita na kuua watu 55
Ripoti za maafisa wa polisi zinaonyesha Martin Ike alikamtwa nchini Nigeria na maafisa wa kitengo cha polisi wa Interpol na kusafirishwa hadi nchini Kenya
Jacktone Odhiambo, ambaye aliripotiwa kuwa mpenzi wa Chiloba, ameshtakiwa kwa mauaji yake na yuko chini ya ulinzi wa polisi pamoja na washukiwa wengine wanne.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 aliondoka Manchester United mwezi Novemba baada ya mahojiano ya mlipuko ambapo aliikosoa klabu na meneja Erik ten Hag
Miili kumi ilipatikana Jumatano baada ya boti iliyokuwa imebeba zaidi ya wanawake 100 na watoto kupasuka kwenye mto kaskazini mwa Nigeria