Ebola Uganda: Museveni asimamisha usafirishaji wa lori za magogo huko Mubende, Kassanda
Hii ilifuatia visa ambapo madereva wa lori walibeba watu kutoka wilaya hizo mbili kutoroka kutoka maeneo yaliyozuiliwa
Hii ilifuatia visa ambapo madereva wa lori walibeba watu kutoka wilaya hizo mbili kutoroka kutoka maeneo yaliyozuiliwa
The UN attributes the growth to human development, with people living longer thanks to improvements in public health, nutrition, personal hygiene and medicine
Mfanyabiashara wa Marekani na mwanzilishi wa Kampuni ya Microsoft Bill Gates yuko nchini Kenya, ambako atafanya mfululizo wa mazungumzo ya umma
Ufukuaji wa maiti ni nadra nchini Uganda na mara nyingi umekuwa ukihusishwa na shughuli za kitamaduni katika baadhi ya maeneo ya mbali nchini humo
Wilaya ya Mubende, iliyosajili kesi ya kwanza, imepoteza watu 29 kati ya vifo 54 vilivyosajiliwa
President Joe Biden vowed at UN climate talks that the United States was on track to slash its carbon emissions, urging all nations to ramp up their own efforts to avert catastrophic global warming
Mbunge wa jimbo la Pennsylvania, Tony DeLuca, ambaye alifariki kutokana na saratani mwezi uliopita alichaguliwa tena kwa kura nyingi
Burkina Faso’s new legislative assembly opened on Friday with a call for self-sacrifice by the 71 members appointed by the junta that seized power a month ago
Kocha wa zamani wa Luton anachukua nafasi ya Ralph Hasenhuttl
Afrika Kusini imeondoa masharti ya visa kwa Wakenya wanaosafiri kwenda taifa hilo la kusini mwa Afrika kuanzia Januari 2023 kwa muda wa siku 90 kila mwaka