• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzotv.com

Kiongozi wa Upinzani Ivory Coast, Tidjane Thiam,aondolewa kwenye nafasi ya  kugombea Urais
Africa Politics

Kiongozi wa Upinzani Ivory Coast, Tidjane Thiam,aondolewa kwenye nafasi ya kugombea Urais

Asia GambaApril 23, 2025

Thiam, ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa kiongozi wa chama cha Democratic Party of Ivory Coast (PDCI), ameondolewa kwa madai kuwa alipoteza uraia wa Ivory Coast baada ya kupata uraia wa Ufaransa mwaka 1987.

Mahakama Kuu ya Marekani kusikiliza kesi dhidi ya vitabu vya LGBTQ Mashuleni
Education Europe Rights & Freedoms Social Issues

Mahakama Kuu ya Marekani kusikiliza kesi dhidi ya vitabu vya LGBTQ Mashuleni

Asia GambaApril 22, 2025

Mahakama Kuu ya Marekani, ambayo ina wingi wa majaji wa mrengo wa kihafidhina, inatarajiwa kusikiliza kesi leo Jumanne kuhusu iwapo wazazi wana haki ya kidini kuwazuia watoto wao kuhudhuria madarasa yanayosoma au kujadili vitabu vyenye maudhui ya LGBTQ.

Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”
Africa East Africa People Religion Social Issues

Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”

Asia GambaApril 21, 2025

Francis, ambaye alijulikana kwa jitihada zake za kufanya mageuzi ndani ya Kanisa Katoliki na aliwahamasisha wengi, alifariki akiwa na umri wa miaka 88. 

Majaliwa atoa maagizo kwa TANROADS kuhusu ukarabati wa madaraja
Development East Africa Tanzania

Majaliwa atoa maagizo kwa TANROADS kuhusu ukarabati wa madaraja

Asia GambaApril 16, 2025

Ametoa agizo hilo leo Jumatano (Aprili 16, 2025) alipokagua maendeleo ya ukarabati wa madaraja katika maeneo ya Matandu na Somanga Mtama, Wilaya Kilwa Mkoani Lindi kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi yaliyokuwa yamekatika kufuatia mvua zinazonyesha nchini.

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12
East Africa Education Tanzania

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12

Asia GambaApril 8, 2025

Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.

Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?
East Africa Opinion Politics Tanzania

Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?

Asia GambaApril 4, 2025

Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.

Wasira:Chadema hawana hoja ya msingi kuzuia uchaguzi
East Africa Tanzania

Wasira:Chadema hawana hoja ya msingi kuzuia uchaguzi

Asia GambaMarch 28, 2025

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina hoja ya msingi ya kuzuia Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwani kama ni mabadiliko wanayoyazungumza yameshafika tayari.

Deni la Serikali laongezeka kutoka tril 82.25 hadi tril 97.35
East Africa Tanzania

Deni la Serikali laongezeka kutoka tril 82.25 hadi tril 97.35

Asia GambaMarch 27, 2025

CAG amesema deni hilo linajumuisha deni la ndani na deni ambalo ni Sh. trilioni 31.95 na la nje Sh.65.40, hata hivyo amesema deni hilo ni himilivu. 

Familia ya kada wa CCM Daniel Chonchorio anaedaiwa kutekwa yajitokeza kuomba msaada
East Africa Tanzania

Familia ya kada wa CCM Daniel Chonchorio anaedaiwa kutekwa yajitokeza kuomba msaada

Asia GambaMarch 26, 2025

Familia ya Daniel Chonchorio, kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye anadaiwa kutoweka Jumapili asubuhi akiwa kwenye mazoezi eneo la Nyakato jijini Mwanza, imejitokeza hadharani kuomba msaada kwa umma ili kumtafuta ndugu yao.

M23 yafuta mazungumzo ya amani na serikali ya DRC kwa sababu ya vikwazo
East Africa Politics Social Issues War & Conflicts

M23 yafuta mazungumzo ya amani na serikali ya DRC kwa sababu ya vikwazo

Asia GambaMarch 18, 2025

Kikundi cha M23 kilichopatiwa msaada na Rwanda kimesema hakiwezi kushiriki katika mazungumzo ya amani na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne mjini Luanda, mji mkuu wa Angola, kufuatia vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya viongozi wake wakuu.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo