Mauti ilivyokunja mwavuli wa Prof Sarungi, gwiji wa tiba ya mifupa Tanzania
Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.
Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.
Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya kwanza imepokea Faru weupe 18 kutoka nchini Afrika Kusini kwa lengo la kuimarisha shughuli za uhifadhi nchini.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa(76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.
Katika mahojiano alipoitembelea Kinshasa, Mwendesha Mashtaka Khan alikubali kushindwa kwa mfumo wa haki za kimataifa kuzuia ukatili wa kutisha ambao umekuwepo kwa miongo kadhaa katika eneo hili na kusema kuwa yeye ni “ana masikitiko makubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia.”
Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali kukamatwa kwa ndugu Joseph Paulo Kaheza, Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), ambaye anashikiliwa na polisi mkoani Geita tangu jana Februari 24, 2025
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) alisema Jumatatu kwamba zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi hiyo tangu mwezi Januari, wakati kundi la M23 lililokuwa likiungwa mkono na Rwanda lilipochukua miji miwili mikubwa.
Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.
Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa kuanzia mwaka huu, wanahabari nchini Tanzania watatolewa kadi za habari za kidijitali kama sehemu ya mpango wa serikali wa kuboresha sekta ya habari.
Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.