• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Qatar 2022

Jezi ya Maradona ya ‘hand of God’ aliyovaa katika Kombe la Dunia yauzwa kwa mnada kwa $9.3 milioni
Entertainment Europe Features Football International People

Jezi ya Maradona ya ‘hand of God’ aliyovaa katika Kombe la Dunia yauzwa kwa mnada kwa $9.3 milioni

Maureen MedzaMay 5, 2022May 5, 2022

Wazabuni saba walishindania vazi hilo katika mnada ulioanza Aprili 20 na kumalizika Jumatano asubuhi, Sotheby’s ilisema.

Kombe la Dunia kufika Kenya katika ziara yake ya mataifa
East Africa Features Football International

Kombe la Dunia kufika Kenya katika ziara yake ya mataifa

Maureen MedzaApril 11, 2022April 11, 2022

Kwa mujibu wa sheria za Fifa, mbali na rais wa nchi, ni wachezaji waliokuwa sehemu ya timu iliyoshinda Kombe la Dunia pekee ndio wanaruhusa kushika kombe hilo.

Msanii wa Nigeria Davido ashirikishwa katika wimbo rasmi wa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Entertainment Features Football International Middle East

Msanii wa Nigeria Davido ashirikishwa katika wimbo rasmi wa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Onyesho la kwanza la wimbo huo litafanyika usiku wa leo kabla ya droo ya makundi inayotarajiwa kuanza saa 19:00 kwa saa za Qatar.

Droo ya Kombe la Dunia la mwaka huu kufanyika mjini Doha leo Ijumaa 1 Aprili
Africa Europe Features Football International Middle East Sports

Droo ya Kombe la Dunia la mwaka huu kufanyika mjini Doha leo Ijumaa 1 Aprili

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Droo ya Ijumaa itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa kati ya wasaidizi wa droo.

Mo Salah adokeza huenda akastaafu kwenye kandanda baada ya kukatishwa tamaa kushiriki Kombe la Dunia
Africa Features Football People Sports

Mo Salah adokeza huenda akastaafu kwenye kandanda baada ya kukatishwa tamaa kushiriki Kombe la Dunia

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alianza soka  akiwa na timu ya taifa ya Misri mwaka 2011.

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Features Football Sports

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Hili ni Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Mashariki ya Kati na litaanza Novemba 21 na fainali inatarajiwa kufanyika Desemba 18.

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal
Africa Features Football International Sports

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Siku ya Jumanne, Pharoahs wa Misri walikosa nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kushindwa na Senegal katika Uwanja wa michezo wa Diamniadio huko Dakar.

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022
Africa Features Football Sports

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Ghana ilibandua nje wenyeji kwa kulazimisha sare ya 1-1 na kushinda mchezo wa hatua ya muondoano na kuondoa matumaini ya Nigeria ya kucheza Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.

Uuzaji wa tikiti za Kombe la Dunia Qatar 2022 wazinduliwa
Football International Middle East Sports

Uuzaji wa tikiti za Kombe la Dunia Qatar 2022 wazinduliwa

Maureen MedzaJanuary 19, 2022January 19, 2022

Dimba la Kombe la Dunia litaanza Novemba 21 hadi Desemba 18.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo