Watu 17 wanakabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuua kwa kushambulia helikopta ya Raila Odinga
Watu hao17 wanahusishwa na kisa cha machafuko ambapo helikopta iliyokuwa imembeba Odinga ilipigwa mawe
Watu hao17 wanahusishwa na kisa cha machafuko ambapo helikopta iliyokuwa imembeba Odinga ilipigwa mawe
Mahakama ya Upeo nchini Kenya iliamua Alhamisi kwamba pendekezo lenye utata la Rais Uhuru Kenyatta kufanya marekebisho ya katiba si halali
Jopo la majaji saba katika Mahakama ya Juu itafanya uamuzi kuhusu uhalali wa mapendekezo hayo kufuatia kukataliwa kwake na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa
It is believed that prior to this, Raila and Mwai Kibaki had signed a memorandum of understanding (MOU) in which Kibaki was to appoint Raila as Prime Minister
This year’s contest is shaping up to be a two-horse race between the Deputy President William Ruto and Raila Odinga.
“Natangaza rasmi mbele ya NGC kwamba najiondoa kutoka kinyang’anyiro cha urais kwa tiketi ya ODM”
Wakili Amollo alisema kuwa mteja wake ni mgonjwa na amelazwa katika Hospitali ya Nairobi ambako amekuwa akipokea matibabu
Mfanyabiashara Stanley Livondo, amesisitiza madai ya kuwepo kwa njama ya mauaji dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta.
Si mara ya kwanza kwa Raila Odiga kutumia nyimbo kupamba kampeni zake za urais.