President Salva Kiir fires two vice presidents and spy chief
Kiir fired two of the five vice-presidents in his unity government, promoting ally Benjamin Bol Mel to vice-president in charge of the economic portfolio
Kiir fired two of the five vice-presidents in his unity government, promoting ally Benjamin Bol Mel to vice-president in charge of the economic portfolio
Baada ya maendeleo na kutiwa saini kwa itifaki tisa mwezi Julai, Makamu wa Rais Riek Machar alitangaza kujiondoa kwenye majadiliano. Riek Machar anasalia kuwa mpinzani mkuu wa Rais Salva Kiir, ingawa wanafanya kazi pamoja katika serikali ya umoja na ya mpito iliyoundwa chini ya makubaliano ya amani ya mwaka 2018.
Akol Koor was removed in a presidential decree late on Wednesday, reportedly while on a visit to Dubai. No reason was given for the decision.
Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto amemuidhinisha rasmi mpinzani wake wa muda mrefu Raila Odinga katika nafasi ya mwenyekiti wa…
Several regional leaders have arrived for the launch of Kenya’s campaign to have Raila Odinga as the next Chairperson of…
Nchi hiyo yenye watu milioni 11 imejitahidi kudumisha amani katika miaka ya hivi karibuni tangu mikataba ya amani ya 2018.
Mapigano yamepamba moto upya katika taifa hilo licha ya ahadi ya Rais Salva Kiir na Makamu wa Rais Riek Machar, kujitahidi kutekeleza vifungu muhimu vya mapatano ya amani
Taifa hilo jipya zaidi duniani limekumbwa na misukosuko tangu lilipopata uhuru mwaka 2011