• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Samia Suluhu

Lissu Vs Jamhuri ngoma bado nzito, atumia saa nne kuwasilisha hoja za pingamizi
East Africa Politics Tanzania

Lissu Vs Jamhuri ngoma bado nzito, atumia saa nne kuwasilisha hoja za pingamizi

Asia GambaSeptember 9, 2025

Katika uwasilishaji wa hoja zake hii leo Lissu alitoa hoja nzito akieleza kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya rekodi mbili za kesi zinazotoka kwenye Mahakama tofauti  moja kutoka Mahakama ya Kisutu ambayo nakala yake alipelekewa gereani Ukonga na nyingine kutoka Mahakama Kuu ambayo aliipata jana akiwa mahakamani hapo.

Tundu Lissu akataa Mahakama kumteulia Wakili, asema atajitetea mwenyewe kwenye Kesi ya Uhaini
East Africa Politics Tanzania

Tundu Lissu akataa Mahakama kumteulia Wakili, asema atajitetea mwenyewe kwenye Kesi ya Uhaini

Asia GambaSeptember 8, 2025

Lissu alitoa kauli hiyo leo mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, akifafanua kuwa uamuzi huo umetokana na uzito wa kesi hiyo, ambayo endapo atapatikana na hatia, adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa.

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kuanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania Septemba 12
East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kuanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania Septemba 12

Asia GambaSeptember 2, 2025

Ikumbukwe Agosti 18, 2025, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilibainisha kuwa kesi hiyo inakwenda Mahakama Kuu baada ya hatua za Kisheria kukamilika.

Wasira:Tusahau mchakato wa uchaguzi, sasa tuungane kusaka dola
East Africa Politics Tanzania

Wasira:Tusahau mchakato wa uchaguzi, sasa tuungane kusaka dola

Asia GambaSeptember 1, 2025

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema kwamba kazi ya chama hicho kwa sasa ni kuisaka dola kwani mchakato wa kura za maoni zilishapita hivyo hakuna sababu ya kuwa na mgawanyiko tena.

Uchaguzi Mkuu bila uwepo wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania
East Africa Politics Tanzania

Uchaguzi Mkuu bila uwepo wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania

Asia GambaAugust 28, 2025

Moja ya madai makuu ya CHADEMA ni mageuzi ya kisheria na mchakato wa uchaguzi, ambapo wanataka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) irekebishe taratibu za uteuzi na usajili wa wagombea ili vyama vyote viwe na nafasi sawa, bila upendeleo kwa chama tawala.

Kampeni za urais Tanzania kuanza rasmi huku mgombea wa ACT Wazalendo akizuiwa kugombea
East Africa Politics Tanzania

Kampeni za urais Tanzania kuanza rasmi huku mgombea wa ACT Wazalendo akizuiwa kugombea

Asia GambaAugust 28, 2025August 28, 2025

Kwa mujibu wa INEC, jumla ya vyama 18 vilivyosajiliwa vitashiriki uchaguzi huu, na wagombea 17 wa urais watashiriki kinyang’anyiro

ACHPR yaikosoa Tanzania kwa ukiukaji wa haki za binadamu kuelekea uchaguzi wa 2025
Africa East Africa Rights & Freedoms Tanzania

ACHPR yaikosoa Tanzania kwa ukiukaji wa haki za binadamu kuelekea uchaguzi wa 2025

Asia GambaAugust 7, 2025

Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR) imeitolea wito Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakikisha inalinda, inaheshimu na inatekeleza kwa dhati viwango vya haki za binadamu kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2025.

Job Ndugai: Spika aliyekuwa na kauli kali na mwenye mizizi ya kisiasa Tanzania
East Africa People Politics Tanzania

Job Ndugai: Spika aliyekuwa na kauli kali na mwenye mizizi ya kisiasa Tanzania

Asia GambaAugust 7, 2025

Kipindi cha uongozi wake kama Spika kiligubikwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani waliomtuhumu kwa upendeleo, kufungia wabunge waliokuwa wakikosoa serikali, pamoja na kuziba mijadala mizito ndani ya Bunge.

Panga la Wajumbe: Vigogo wa CCM waangukia pua kura za maoni
East Africa Politics Tanzania

Panga la Wajumbe: Vigogo wa CCM waangukia pua kura za maoni

Asia GambaAugust 5, 2025

Ingawa majina ya mwisho ya wagombea yataamuliwa na ngazi za juu za chama hicho, matokeo ya sasa yameweka uelekeo wa wazi kuwa sehemu kubwa ya wanachama wameonyesha hamu ya kuona sura mpya zikipewa nafasi ya uongozi.

Tundu Lissu’s Petition Rejected by Tanzania’s High Court
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tundu Lissu’s Petition Rejected by Tanzania’s High Court

Joy CheptooJuly 11, 2025

The court ruled that Lissu’s petition should have been filed after the main case was concluded.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy