• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Nape aomba radhi kufuatia kauli yake ya CCM kushinda uchaguzi kwa njia haramu
Politics Tanzania

Nape aomba radhi kufuatia kauli yake ya CCM kushinda uchaguzi kwa njia haramu

Asia GambaJuly 17, 2024August 7, 2024

Nape ameomba radhi leo ikiwa tayari kumekuwa na gumzo na sintofahamu iliyojaa mjadala wenye hisia mseto kufuatia kauli yake hiyo iliyozagaa mitandaoni tangu Julai 15,2024.

Tanzania, Marekani kuongeza nguvu ya pamoja kukabiliana na ugonjwa wa Saratani
Lifestyle & Health Tanzania

Tanzania, Marekani kuongeza nguvu ya pamoja kukabiliana na ugonjwa wa Saratani

Asia GambaJuly 16, 2024

Tanzania na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, Vifaa Tiba hususani vya kutoa huduma za Mionzi, Takwimu, Tafiti pamoja na Ubunifu ili kuwezesha wananchi wa Afrika kupata huduma bora za Saratani bila kikwazo. 

Fukuto ndani ya TLS lazidi kuongezeka, Mawakili waamua kuishtaki
Crime & Justice Tanzania

Fukuto ndani ya TLS lazidi kuongezeka, Mawakili waamua kuishtaki

Asia GambaJuly 11, 2024

Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Ziwa, Steven Kitale amefungua shauri la mapitio ya kimahakama dhidi…

Amng’oa meno mkewe kisa shilingi 200
Crime & Justice Tanzania

Amng’oa meno mkewe kisa shilingi 200

Asia GambaJuly 10, 2024July 15, 2024

Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma, Musa Abdallah kwa tuhuma za kumn’goa meno matatu mke wake kwa kutumia Praizi kwa kile kilichoelezwa ni ugomvi wa Sh. 200.

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi
Crime & Justice Tanzania

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Uchaguzi wa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), umekuwa na sarakasi zilizoibua wadau wa sheria nchini kufuatia kuondolewa kwa jina la miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo Wakili Boniface Mwabukusi jambo linalodaiwa kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea ndani ya TLS unaoongozwa na Kamati ya Uchaguzi huo.

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo
Crime & Justice Tanzania

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 28, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa,  na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.

Alieychoma picha ya Rais Samia atoka gerezani.
Crime & Justice Tanzania

Alieychoma picha ya Rais Samia atoka gerezani.

Asia GambaJuly 8, 2024

Kijana Shadrack Chaula amelipa fedha hizo baada ya kuchangwa na wanaharakati na wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini.

Umuhimu wa Julai 7 katika Afrika Mashariki- Siku ya Saba Saba
East Africa Politics

Umuhimu wa Julai 7 katika Afrika Mashariki- Siku ya Saba Saba

Joy CheptooJuly 7, 2024August 7, 2024

Julai 7 bila shaka ni tarehe muhimu na yenye matukio mengi katika historia ya Afrika Mashariki.

Samia amtaka Waziri kumpatia ripoti ya Kariakoo kila baada ya miezi mitatu
Tanzania

Samia amtaka Waziri kumpatia ripoti ya Kariakoo kila baada ya miezi mitatu

Asia GambaJuly 5, 2024

Rais  Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kwenda ‘kushinda’ Kariakoo badala ya kukaa ofisini ili kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wa eneo hilo pamoja na nchi nzima kisha kumpatia ripoti kila baada ya miezi mitatu. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua kamati ya kitaifa ya AFCON 2027
Football Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua kamati ya kitaifa ya AFCON 2027

Asia GambaJuly 5, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) na kuahidi kuwa Serikali itafanya nayo kazi kwa karibu ili iweze kufanikisha malengo ya Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano hiyo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo