Nape aomba radhi kufuatia kauli yake ya CCM kushinda uchaguzi kwa njia haramu
Nape ameomba radhi leo ikiwa tayari kumekuwa na gumzo na sintofahamu iliyojaa mjadala wenye hisia mseto kufuatia kauli yake hiyo iliyozagaa mitandaoni tangu Julai 15,2024.