Tanzania kuwa mwenyeji maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika.
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC-AU) yatakayofanyika kesho Mei 25, 2024 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.