Majaliwa:Tunajiandaa kurusha satelaiti
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza Mpango mkakati wa miaka mitano 2024/25 – 2029/30 wa Anga za juu utakaoiwezesha Tanzania kurusha satelaiti.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza Mpango mkakati wa miaka mitano 2024/25 – 2029/30 wa Anga za juu utakaoiwezesha Tanzania kurusha satelaiti.
Katika kesi hiyo Kabendera aliyewakilishwa na Wakili Peter Madeleka alikuwa akiituhumu Vodacom kufanikisha kukamatwa kwake akieleza kama ‘kutekwa’ na hatimaye kufunguliwa kesi hiyo ya uhujumu Uchumi mwaka 2019.
A Tanzanian court sentenced four men to life in prison Monday for a gang rape that shocked the country after a video of the assault went viral on social media
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema anakusudia kuishtaki kampuni ya Tigo na Serikali ya Tanzania katika mahakama ya Uingereza kufuatia kampuni hiyo kushirikiana na Serikali katika kutoa taarifa zake na kumfatilia hadi kusababisha kushambuliwa kwake.
Inadaiwa kwamba Tigo ilitoa taarifa za simu na eneo la Lissu kwa mamlaka za Tanzania kwa muda wote wa saa katika wiki zilizotangulia kabla ya shambulio hilo lililotokea tarehe 7 Septemba 2017.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameeleza kuwa mwezi huu umejawa na maombolezo kwa chama hicho kutokana na yanayoendelea kutokea dhidi ya wanachama wake ambapo hadi sasa baadhi yao hawajulikani walipo tangu walipotekwa na wasiojulikana huku wengine wakiishia mikononi mwa polisi kwa kesi zinazotajwa kuwa ni za uchochezi.
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa mabalozi waliotoa tamko kulaani mauaji ya kibao nchini, akisema kuwa Tanzania haitahitaji maelekezo kutoka kwa mtu yeyote kuhusu jinsi ya kuendesha mambo yake ya ndani.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Nchimbi, amekanusha vikali madai kwamba chama chake kinahusika na matukio ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini Tanzania. Nchimbi alisisitiza kuwa vitendo hivi vinachochewa na magenge ya uhalifu yenye lengo la kutafsiri CCM kama wauaji na kuchochea ugumu wa uhusiano kati ya chama hicho na wananchi.
Jeshi la Polisi Nchini Tanzania limetoa onyo kali na kupiga marufuku maandamano yaliyotangazwa na viongozi wa CHADEMA yatakayofanyika tarehe 23 Septemba 2024. Polisi wameonya kwamba mtu yeyote atakayepatikana akiingia barabarani atakabiliwa na hatua kali za kisheria.
Leo, Septemba 9,2024 mwili wa Ali Kibao, kada maarufu wa chama cha Chadema ambaye alifariki baada ya kutekwa umezikwa huku umati mkubwa wa watu umejitokeza kushuhudia safari yake ya mwisho iliyojaa huzuni ya kutafakarisha