• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Safu mpya ya uongozi wa ACT Wazalendo ilivyoweka kipaumbele cha uchaguzi ili kushika dola.
Africa East Africa

Safu mpya ya uongozi wa ACT Wazalendo ilivyoweka kipaumbele cha uchaguzi ili kushika dola.

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Wiki hii ilikuwa ni wiki ya hekaheka za vikao vya kamati kuu vya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, ambayo imeishia katika mkutano mkuu wa chama hicho ambao ulitambulisha safu ya viongozi wapya ikiwa ni sehehmu ya kupokezana kijiti kama ambavyo Katiba yao inawataka kufanya hivyo kila inapofika miaka mitano.

Mzee Mwinyi afariki dunia kwa saratani ya mapafu
Africa East Africa

Mzee Mwinyi afariki dunia kwa saratani ya mapafu

Asia GambaMarch 1, 2024March 1, 2024

Ali Hassan Mwinyi maarufu Mzee Rukhsa alikuwa rais wa awamu ya pili ncini Tanzania aliyehudumu madarakani kwa miaka 10 kutoka mwaka 1985 mpaka 1995.

Remembering the Legacies of Tanzania’s Three Departed Former Presidents
East Africa People Politics

Remembering the Legacies of Tanzania’s Three Departed Former Presidents

Joy CheptooMarch 1, 2024March 1, 2024

Tanzania has faced the somber reality of losing three of its distinguished leaders in recent years, Benjamin Mkapa in 2020, John Magufuli in 2021, and Ali Hassan Mwinyi in 2024

Lowassa jemedali wa siasa nchini Tanzania
Africa East Africa Politics

Lowassa jemedali wa siasa nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 12, 2024February 12, 2024

Lowassa amefarikI Februari 10,2024 siku ya Jumamosi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyoko jijini Dar es salaam. 

Mswada wa Sheria ya uchaguzi Tanzania kizungumkuti
Africa East Africa

Mswada wa Sheria ya uchaguzi Tanzania kizungumkuti

Asia GambaJanuary 30, 2024January 30, 2024

Miswada hiyo ambayo imeibua mjadala pamoja na kupingwa na wadau mbalimbali ikiwamo vyama vya siasa, imetajwa kuwa na uzito wa kipekee kiasi cha kuongezewa muda wa wiki moja tofauti na utaratibu wa kawaida wa bunge kukaa wiki mbili.

Mbowe afanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania
Africa East Africa

Mbowe afanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania

Asia GambaJanuary 18, 2024January 18, 2024

Mbowe amekutana na Balozi Battle ikiwa zimebaki siku 6 kuelekea maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika Januari 24,2024.

Chadema kuhitimisha maandamano ofisi za UN.
Africa East Africa

Chadema kuhitimisha maandamano ofisi za UN.

Asia GambaJanuary 17, 2024January 17, 2024

Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema tayari kimewasilisha barua kwa mamlaka za Polisi nchini humo juu ya kuzijulisha maandalizi yake ya kufanyika kwa Maandamano ya amani yatakayofanyika January 24 ambapo wameeleza kuwa maandamano hayo yatahitimishwa katika ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam.

Meli kubwa iliyobeba watalii 2,210 yatua Bandari ya Dar
Africa East Africa

Meli kubwa iliyobeba watalii 2,210 yatua Bandari ya Dar

Asia GambaJanuary 16, 2024January 16, 2024

Meli hiyo inayoitwa Norwegian Cruise Line Dawn yenye urefu wa mita 294, imetajwa kuwa kubwa zaidi kuwasili katika bandari zote nchini tangu kuanzishwa kwake. Norwegian Cruise Line Dawn ilianza kufanya kazi mwaka 2002 ikiwa na thamani ya zaidi ya Sh1 trilioni.

Chadema:Serikali itekeleze madai yetu, tupo tayari kwa mdahalo
Africa East Africa

Chadema:Serikali itekeleze madai yetu, tupo tayari kwa mdahalo

Asia GambaJanuary 15, 2024January 15, 2024

Msimamo huo umetolewa leo tarehe 15 Januari 2022 kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na  Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje Chadema,  John Mrema, ikiwa ni  siku moja  baada ya Makonda kutaka mdahalo na viongozi wa chama hicho

CCM yamteua Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wake
Africa East Africa

CCM yamteua Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wake

Asia GambaJanuary 15, 2024January 15, 2024

Dk Nchimbi anachukua nafasi ya Daniel Chongolo ambaye alijiuzulu kwa kile alichodai kuwa amechafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo