• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Tanzania yapokea Faru weupe kutoka Afrika Kusini
East Africa Tanzania Uncategorized

Tanzania yapokea Faru weupe kutoka Afrika Kusini

Asia GambaMarch 4, 2025

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya kwanza imepokea Faru weupe 18  kutoka nchini Afrika Kusini kwa lengo la kuimarisha shughuli za uhifadhi nchini.

Dkt Slaa aachiwa huru baada ya siku 48 rumande, atangaza kurudi Chadema
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Dkt Slaa aachiwa huru baada ya siku 48 rumande, atangaza kurudi Chadema

Asia GambaFebruary 27, 2025

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa(76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.

ACT Wazalendo yalaani kukamatwa kwa M/kiti wa NETO, yataka aachiwe huru
East Africa Social Issues Tanzania Uncategorized

ACT Wazalendo yalaani kukamatwa kwa M/kiti wa NETO, yataka aachiwe huru

Asia GambaFebruary 25, 2025February 25, 2025

Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali kukamatwa kwa ndugu Joseph Paulo Kaheza, Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), ambaye anashikiliwa na polisi mkoani Geita tangu jana Februari 24, 2025 

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa
East Africa Education People Social Issues Tanzania

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa

Asia GambaFebruary 25, 2025February 25, 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema
East Africa Politics Tanzania

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema

Asia GambaFebruary 24, 2025

Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya amesisitiza kuwa yeye bado ni mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), isipokua suala la yeye kufukuzwa uanachama ni mambo ya ndani ya chama na ndio maana mpaka leo wanapigania haki yao ya kuwa wanachama wa Chadema.

Wanahabari nchini Tanzania kuanza kutumia kadi za habari za kidijitali
East Africa Tanzania Uncategorized

Wanahabari nchini Tanzania kuanza kutumia kadi za habari za kidijitali

Asia GambaFebruary 18, 2025

Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa kuanzia mwaka huu, wanahabari nchini Tanzania watatolewa kadi za habari za kidijitali kama sehemu ya mpango wa serikali wa kuboresha sekta ya habari.

TLS yasisitiza Utu, Upendo na Utii kuondoa migogoro ya kijamii
Crime & Justice East Africa People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

TLS yasisitiza Utu, Upendo na Utii kuondoa migogoro ya kijamii

Asia GambaFebruary 18, 2025

Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo
East Africa Infrastructure Tanzania Uncategorized

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo

Asia GambaFebruary 14, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Tanzania imesaini mkataba wa kuipa Kampuni ya Saudi-Africa Development Company (SADC) haki ya kuendesha Bandari ya Bagamoyo.

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU
Africa East Africa People Social Issues Tanzania

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU

Asia GambaFebruary 14, 2025

Ziara ya Rais Samia nchini Ethiopia imeanza leo ambapo anatarajia kuhitimisha Februari 16,2025.

Madereva bodaboda 759 na abiria 283 wafariki dunia kwa ajali kati ya 2023/24 nchini Tanzania
East Africa People Social Issues Tanzania

Madereva bodaboda 759 na abiria 283 wafariki dunia kwa ajali kati ya 2023/24 nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 11, 2025

Imeelezwa kuwa jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali za barabarani kati ya mwaka 2022 na 2024.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy