A ‘Zanzibari President’ Leading the Nation? Sparks National Debate in Tanzania
President Samia had previously publicly acknowledged her Zanzibari heritage
President Samia had previously publicly acknowledged her Zanzibari heritage
Hellen’s commitment to human rights began in her teens when she stood up against injustices at her school.
Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es salaam katika makao makuu ya chama hicho Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje bwana John Mrema amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa ajenda zao na makubaliano yaliyofanyika katika kikao kilichofanyika mkoani Mtwara maarufu Azimio la Mtwara na kwamba kamwe hawatarudi nyuma.
Dr Nyambura Moremi was suspended alongside the institution’s Quality Assurance Director Jacob Lusekelo
Tanzania has faced the somber reality of losing three of its distinguished leaders in recent years, Benjamin Mkapa in 2020, John Magufuli in 2021, and Ali Hassan Mwinyi in 2024
Lowassa amefarikI Februari 10,2024 siku ya Jumamosi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyoko jijini Dar es salaam.
Miswada hiyo ambayo imeibua mjadala pamoja na kupingwa na wadau mbalimbali ikiwamo vyama vya siasa, imetajwa kuwa na uzito wa kipekee kiasi cha kuongezewa muda wa wiki moja tofauti na utaratibu wa kawaida wa bunge kukaa wiki mbili.
Chadema has been campaigning for constitutional reforms and greater independence for the electoral commission to be included in the legislation to be debated by lawmakers in February.
Mbowe amekutana na Balozi Battle ikiwa zimebaki siku 6 kuelekea maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika Januari 24,2024.
Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema tayari kimewasilisha barua kwa mamlaka za Polisi nchini humo juu ya kuzijulisha maandalizi yake ya kufanyika kwa Maandamano ya amani yatakayofanyika January 24 ambapo wameeleza kuwa maandamano hayo yatahitimishwa katika ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam.