• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi
Africa East Africa

Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Zaidi ya wakimbizi 200,000 walioko nchini Tanzania wataanza kupokea nusu mgao wa chakula wanachopatiwa kutokana na ukata unaokabili shirika la…

Ahukumiwa miaka saba jela kwa kumuambukiza Ukimwi  kwa makusudi mtoto wake wakufikia
Africa East Africa

Ahukumiwa miaka saba jela kwa kumuambukiza Ukimwi  kwa makusudi mtoto wake wakufikia

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Mara imemuhukumu kwenda jela miaka saba Msirari Muhere (60) mkazi wa Wilaya ya Tarime baada…

Sheria ya kupinga ushoga sasa ni rasmi nchini Uganda
Africa East Africa

Sheria ya kupinga ushoga sasa ni rasmi nchini Uganda

Asia GambaMay 29, 2023May 29, 2023

Rais wa Uganda Yoweri Museveni leo amesaini Muswada wa Sheria  wenye utata dhidi ya mashoga, ofisi yake na bunge la nchi hiyo zilisema, ikianzisha hatua kali dhidi ya ushoga ambazo zimetajwa kuwa miongoni mwa sheria kali zaidi duniani.

#TANZANIA: Barabara ya Nyerere ya Dar es Salaam kufungwa kwa miezi mitatu
Tanzania

#TANZANIA: Barabara ya Nyerere ya Dar es Salaam kufungwa kwa miezi mitatu

Joy CheptooMay 28, 2023July 2, 2024

Barabara hiyo itafungwa kuanzia Mei 28, na itafunguliwa tena Septemba 30, 2023, ujenzi utakapokamilika

Tanzania, Kenya  na Uganda kuwa wenyeji michuano ya AFCON
Africa Asia

Tanzania, Kenya  na Uganda kuwa wenyeji michuano ya AFCON

Asia GambaMay 24, 2023May 24, 2023

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Kenya na Uganda kupitia Pamoja Bid wamedhamiria kuwa mwenyeji wa michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (African Cup of Nations) 2027.

Wanachama wa CUF wazidi kutimka
Africa East Africa

Wanachama wa CUF wazidi kutimka

Asia GambaMay 23, 2023May 23, 2023

Aliyekuwa Mwenyekiiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia aliwahi kuwa Mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la la 10, Kiza Mayeye amejiondoa kwenye Chama hicho na kujiunga na Chama cha ACT Wazalendo.

Museveni akaribisha ombi la AFCON kwa Afrika Mashariki
East Africa Football People Sports

Museveni akaribisha ombi la AFCON kwa Afrika Mashariki

Joy CheptooMay 23, 2023May 23, 2023

Nchi hizo tatu za Afrika Mashariki ziliungana na mpango uliopewa jina la EA ‘Pamoja’ zabuni ya AFCON 2027

Tanzania yajidhatiti kujenga Satelaiti yake
Africa East Africa

Tanzania yajidhatiti kujenga Satelaiti yake

Asia GambaMay 18, 2023May 18, 2023

Endapo mpango huo utakuwa dhahiri, Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi za Afrika zilizofanikiwa kupeleka kifaa hicho angani, ambazo  ni Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, Afrika Kusini, Morocco, Misri, Ghana na Nigeria, huku Rwanda ikikusudia kufanya hivyo mwishoni mwa mwaka huu.

Ugonjwa wa Shinikizo la Juu la Damu Umeongezeka Kwa 95.4%
Africa East Africa

Ugonjwa wa Shinikizo la Juu la Damu Umeongezeka Kwa 95.4%

Asia GambaMay 18, 2023May 18, 2023

Waziri wa Afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema takwimu hizi zinaonesha kwamba wagonjwa hao wenye shinikizo la damu wameonekana kuongezeka takribani mara mbili zaidi kwa kipindi cha miaka mitano.

Tanzanian traders strike over high taxes in rare protest
East Africa People

Tanzanian traders strike over high taxes in rare protest

Mwanzo EditorMay 17, 2023May 17, 2023

Kariakoo, a massive market located in Dar es Salaam is Tanzania’s busiest market

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo