Miaka Miwili ya Rais Samia dhidi ya Wafugaji
Miaka Miwili ya Rais Samia Kwa Jamii ya kifugaji imekua ni kilio badala ya Furaha, tumenyanyaswa na kuumizwa na serikali yetu wenyewe
Miaka Miwili ya Rais Samia Kwa Jamii ya kifugaji imekua ni kilio badala ya Furaha, tumenyanyaswa na kuumizwa na serikali yetu wenyewe
Akizungumuza jana na waandishi wa habari akiwa ofisi ya Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Kardinali Pengo alisema amefanya hivyo kwani hakupata fursa hiyo wakati wa mazishi ya Dk Magufuli.
The illness was detected in “a total of seven people (with) symptoms including fever, vomiting, bleeding in various body parts and kidney failure
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amewaonya wasoma mita za maji nchini kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi bili kubwa za maji kwani hatua hiyo inaichafua serikali jambo ambalo halitovumilika.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa viongozi wote walioteuliwa katika nafasi mpya watajulishwa tarehe ya kuapishwa.
Serengeti kaskazini mwa Tanzania ni nyumbani kwa simba takriban 3,000, na ni maarufu kwa watalii wa ndani na nje ya nchi
Kwa mujibu wa taarifa ya Daktari wa Mifugo wa wilaya hiyo Festo Mkomba imesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya hivi karibuni kujitokeza baadhi ya matukio yanayosababishwa na ugonjwa huo hivyo kwa mujibu wa sheria ya mifugo namba 16(2), 17 ya mwaka 2003 imembidi kutangaza kusitishwa kwa huduma hizo kuanzia sasa mpaka hapo itakapo tangazwa tena.
Taarifa iliyotolewa hivi karibuni kutoka NHIF, ilieleza kuwa mfuko huo unafanya maboresho ya usajili na huduma kwa watoto waliokuwa wanasajiliwa kupitia utaratibu wa Bima ya Afya ya ‘Toto Afya Kadi’, na kutoweka bayana ni muda gani utachukua kukamilika kwa maboresho hayo.
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga, leo amewaambia wanahabari kwamba mashauri hayo ya ugaidi yamekwama kuendelea kwa zaidi ya miaka sita kutokana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kutokamilisha upelelezi wake.
Upande wa pikipiki zimetokea ajali kubwa 30 kwa kipindi hicho cha Januari hadi Desemba, 2022 zilizosababisha vifo vya watu 25 na kujeruhi watu 26