Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi
Zaidi ya wakimbizi 200,000 walioko nchini Tanzania wataanza kupokea nusu mgao wa chakula wanachopatiwa kutokana na ukata unaokabili shirika la…
Zaidi ya wakimbizi 200,000 walioko nchini Tanzania wataanza kupokea nusu mgao wa chakula wanachopatiwa kutokana na ukata unaokabili shirika la…
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Mara imemuhukumu kwenda jela miaka saba Msirari Muhere (60) mkazi wa Wilaya ya Tarime baada…
Rais wa Uganda Yoweri Museveni leo amesaini Muswada wa Sheria wenye utata dhidi ya mashoga, ofisi yake na bunge la nchi hiyo zilisema, ikianzisha hatua kali dhidi ya ushoga ambazo zimetajwa kuwa miongoni mwa sheria kali zaidi duniani.
Barabara hiyo itafungwa kuanzia Mei 28, na itafunguliwa tena Septemba 30, 2023, ujenzi utakapokamilika
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Kenya na Uganda kupitia Pamoja Bid wamedhamiria kuwa mwenyeji wa michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (African Cup of Nations) 2027.
Aliyekuwa Mwenyekiiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Wananchi CUF ambaye pia aliwahi kuwa Mbunge wa Viti Maalum katika Bunge la la 10, Kiza Mayeye amejiondoa kwenye Chama hicho na kujiunga na Chama cha ACT Wazalendo.
Nchi hizo tatu za Afrika Mashariki ziliungana na mpango uliopewa jina la EA ‘Pamoja’ zabuni ya AFCON 2027
Endapo mpango huo utakuwa dhahiri, Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi za Afrika zilizofanikiwa kupeleka kifaa hicho angani, ambazo ni Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, Afrika Kusini, Morocco, Misri, Ghana na Nigeria, huku Rwanda ikikusudia kufanya hivyo mwishoni mwa mwaka huu.
Waziri wa Afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema takwimu hizi zinaonesha kwamba wagonjwa hao wenye shinikizo la damu wameonekana kuongezeka takribani mara mbili zaidi kwa kipindi cha miaka mitano.
Kariakoo, a massive market located in Dar es Salaam is Tanzania’s busiest market