• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

TRC yatoa ufafanuzi mabehewa mapya ya reli ya kisasa
Africa East Africa

TRC yatoa ufafanuzi mabehewa mapya ya reli ya kisasa

Asia GambaNovember 24, 2022November 24, 2022

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema mabehewa yote yaliyoainishwa kuletwa kwa ajili ya treni ya Reli ya Kisasa (SGR) yatakuja na kwamba yaliyoanza kuingia nchini ni ya safari ndefu.

WHO /CDC:Takriban watoto milioni 40 wako katika hatari ya kushambuliwa na surua 
Africa East Africa

WHO /CDC:Takriban watoto milioni 40 wako katika hatari ya kushambuliwa na surua 

Asia GambaNovember 24, 2022November 24, 2022

Ripoti mpya iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na Atlanta Marekani na shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO na kituo cha Marekani cha kudhibiti magonjwa CDC inaonyesha kuwa ugonjwa wa surua ni tishio lililo karibu duniani kote. 

Tanzania yaikana ripoti ya awali ya ajali ya ndege Bukoba
Africa East Africa

Tanzania yaikana ripoti ya awali ya ajali ya ndege Bukoba

Asia GambaNovember 24, 2022November 24, 2022

Taarifa ya kanusho juu ya ripoti hiyo ambayo imesambaa mitandaoni toka siku Jumanne November 22 na kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya ndani na nje ya Tanzania imekuja jana Novemba 23, wakati tayari imeshaibua mjadala mzito juu ya ajali hiyo.

Ripoti:Kuna uzembe ulifanyika ajali ya ndege Bukoba
Africa East Africa

Ripoti:Kuna uzembe ulifanyika ajali ya ndege Bukoba

Asia GambaNovember 23, 2022November 23, 2022

Ripoti ya awali ya uchunguzi wa ajali ya ndege ya Shirika la Precision Air, ikibainisha udhaifu katika uokozi kwa kile alichofafanua Jeshi la Polisi Kitengo cha Wanamaji kilipewa taarifa dakika 15 baada ya tukio lakini hakikufika kwa wakati.

Bashe:Tanzania haina njaa
Africa East Africa

Bashe:Tanzania haina njaa

Asia GambaNovember 23, 2022November 23, 2022

Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Hussein Bashe, amekanusha uwepo wa baa la njaa nchini humo lakini amekiri kupanda kwa bei za mazao.

Watuhumiwa wa mauaji ya askari Ngorongoro waachiwa huru
Africa East Africa

Watuhumiwa wa mauaji ya askari Ngorongoro waachiwa huru

Asia GambaNovember 22, 2022November 22, 2022

Kesi hiyo ambayo leo Jumanne, Novemba 22, 2022 ilipangwa kwa ajili ya kutajwa ambapo kati ya washitakiwa hao 24, kumi ni madiwani pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ngorongoro, Nderango Laizer.

CHADEMA:Bila Katiba Mpya hakuna uchaguzi utakaofanyika 2024/2025
Africa East Africa

CHADEMA:Bila Katiba Mpya hakuna uchaguzi utakaofanyika 2024/2025

Asia GambaNovember 22, 2022November 22, 2022

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeweka msimamo wake wa kutofanyika uchaguzi mkuu wa 2025 wala uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024 iwapo hakutapatika Katiba mpya itakayoweka mifumo mizuri ya uchaguzi 

Rushwa yavuruga uchaguzi wa CCM
Africa East Africa

Rushwa yavuruga uchaguzi wa CCM

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefuta matokeo ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti Umoja wa Vijana Mkoa wa Simiyu na kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho katika mikoa ya Mbeya na Arusha.

Atwoli Amechaguliwa Makamu wa Rais wa ITUC kwa Awamu ya Nne
International

Atwoli Amechaguliwa Makamu wa Rais wa ITUC kwa Awamu ya Nne

Victor WanaswaNovember 21, 2022November 21, 2022

Uteuzi wa Atwoli uliidhinishwa kwa kauli moja na zaidi ya wajumbe 2000 na kufungua njia kwa muhula wake wa miaka mine katika ITUC, ambayo ina makao yake makuu mjini Brussels, Ubelgiji.

TCRA: Watumiaji wa fedha kwa njia ya mtandao wameongezeka
Africa East Africa

TCRA: Watumiaji wa fedha kwa njia ya mtandao wameongezeka

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Taarifa ya utendaji kazi ya Mamlaka hiyo kwa mwaka 2022/23 inaonyesha kuwa akaunti za pesa kwa simu za mkononi zimeongezeka na kufikia watumiaji 39,590,502 mwezi Septemba mwaka huu kutoka watumiaji 35,201,960 walioripotiwa Mwezi Januari mwaka 2022.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo