Watu 11 wahukumiwa kifo nchini Tanzania kwa mauaji ya mhifadhi
Mahakama nchini Tanzania iliwahukumu kifo watu 11 siku ya Ijumaa kutokana na mauaji ya mhifadhi maarufu Wayne Lotter mwaka wa 2017
Mahakama nchini Tanzania iliwahukumu kifo watu 11 siku ya Ijumaa kutokana na mauaji ya mhifadhi maarufu Wayne Lotter mwaka wa 2017
Maafisa wa usalama wa Uganda wamezuilia boti nane za wavuvi, ambazo wamiliki wake raia wa Kenya walituhumiwa kwa kuingia katika Ziwa Victoria
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limezuia matokeo ya watahiniwa 540 kutoka vituo sita vya mitihani ndani ya jiji la Dar es Salaam baada ya kugundulika kufanya udanganyifu.
Rais wa zamani wa China Jiang Zemin, ambaye aliongoza nchi hiyo kupitia enzi ya mabadiliko kutoka mwishoni mwa miaka ya 1980 na kuingia katika milenia mpya, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96, shirika la habari la serikali Xinhua lilisema.
Wanajeshi hao, waliojiunga na jeshi mwaka jana na walikuwa na makao yake katika kisiwa kikuu cha Java nchini humo, pia waliondolewa jeshini, kulingana na uamuzi wa mahakama ya kijeshi wa tarehe 9 Novemba.
Akizungumzia tukio hilo jana Novemba 29, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani Rukwa, Theopista Mallya amesema tukio hilo limetokea Novemba 27 mwaka huu akiwa amelala katika nyumba ya wageni.
Mkazi wa Kijiji cha Mahaha wilayani Magu mkoani Mwanza, Zawadi Msagaja (20) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hamo kwa tuhuma za kumzika mtoto wake akiwa hai ili apate mali.
Chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kimemuomba Rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan, atimize ahadi yake ya kujenga maridhiano na kuimarisha demokrasia ya vyama vingi, kwa kuhakikisha tume huru ya uchaguzi inapatikana kabla ya chaguzi zijazo.
Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT, Osea Kashiririka (21) amefariki dunia baada ya kujipiga risasi sehemu ya shingo kwa kutumia bunduki.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza kutoridhishwa na kasi ya kujiunga kwa wanachama wa Jumuiya ya wanawake wa chama hicho (UWT) na uendeshaji wa miradi yake ya kiuchumi.