Mashirika 76 na Watu 109 waandika barua ya wazi kwa rais Samia kuhusu ukiukwaji wa haki huko Loliondo
Barua ya Wazi kwa Rais wa Tanzania – Acha Ukiukwaji wa Haki za Binadamu dhidi ya Watetezi wa Ardhi wa Kimasai
Barua ya Wazi kwa Rais wa Tanzania – Acha Ukiukwaji wa Haki za Binadamu dhidi ya Watetezi wa Ardhi wa Kimasai
Alisema Kenya ina mpango wa kuzalisha MW 10,000 kutoka kwa rasilimali ya jotoardhi, na MW 20,000 kutoka kwa jua na upepo
Uongozi wa klabu ya Simba nchini Tanzania imesema ndugu Mugarami Said Mohamed maarufu kama Shilton hakuwa muajirwa wa klabu hiyo
Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania(DCEA) imewakamata watuhumiwa 11 akiwemo kocha wa makipa wa timu ya Simba Club, Muharami Sultan (40) anayetuhumiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin na bangi.
Mkurugenzi wa Shirika Precision Air, Patrick Mwanri amesema mchakato wa malipo ya fidia kwa familia zilizoathiriwa na ajali hiyo tayari umeshaanza ambapo utakuwa kati ya familia za waliothirika na shirika hilo na utakuwa wa siri na utafanyika kwa umakini mkubwa.
Taarifa ya EAC kwa vyombo vya habari ilieleza kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo, Dk Peter Mathuki anatarajiwa kuungana na mwezeshaji wa mchakato wa amani mashariki mwa DRC, Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta katika kazi hiyo ya siku mbili iliyoanza jana.
Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Filemon Makungu alisema kuwa aliyeuawa kwenye tukio hilo ni Amos Petro (45) na watu wengine wawili walijeruhiwa.
Akitoa taarifa mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Mpanda, Afisa mtendaji wa Kata ya Itenka Yegela Samike amesema mvua hiyo ilinyesha Novemba 9, 2022 majira ya saa 12:45 jioni.
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia wanafunzi 28,000 waliokidhi vigezo vya kupata mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka 2022/2023 waende vyuoni kuendelea na usajili chini ya uratibu wa Wizara ya Elimu wakati taratibu muhimu zikikamilishwa.
Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson amesema kuna mambo ambayo hawajaafikiana na Serikali hivyo umeondolewa katika ratiba ya shughuli za leo ambapo Bunge linaahirishwa.