CHADEMA:Bila Katiba Mpya hakuna uchaguzi utakaofanyika 2024/2025
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeweka msimamo wake wa kutofanyika uchaguzi mkuu wa 2025 wala uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024 iwapo hakutapatika Katiba mpya itakayoweka mifumo mizuri ya uchaguzi