• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Mashirika 76 na Watu 109 waandika barua ya wazi kwa rais Samia kuhusu ukiukwaji wa haki huko Loliondo
Africa East Africa

Mashirika 76 na Watu 109 waandika barua ya wazi kwa rais Samia kuhusu ukiukwaji wa haki huko Loliondo

Asia GambaNovember 16, 2022November 16, 2022

Barua ya Wazi kwa Rais wa Tanzania – Acha Ukiukwaji wa Haki za Binadamu dhidi ya Watetezi wa Ardhi wa Kimasai

Ruto akanusha kusaini mkataba wa mafuta na gesi na Tanzania
Africa Business / Finance East Africa Environment People

Ruto akanusha kusaini mkataba wa mafuta na gesi na Tanzania

Joy CheptooNovember 16, 2022November 16, 2022

Alisema Kenya ina mpango wa kuzalisha MW 10,000 kutoka kwa rasilimali ya jotoardhi, na MW 20,000 kutoka kwa jua na upepo

Simba yamkataa Muharami
Africa East Africa

Simba yamkataa Muharami

Asia GambaNovember 15, 2022November 15, 2022

Uongozi wa klabu ya Simba nchini Tanzania imesema ndugu Mugarami Said Mohamed maarufu kama Shilton hakuwa muajirwa wa klabu hiyo 

Kocha wa makipa wa Simba adaiwa kukutwa na dawa za kulevya
Africa East Africa

Kocha wa makipa wa Simba adaiwa kukutwa na dawa za kulevya

Asia GambaNovember 15, 2022November 15, 2022

Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania(DCEA) imewakamata watuhumiwa 11 akiwemo kocha wa makipa wa timu ya Simba Club, Muharami Sultan (40) anayetuhumiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin na bangi.

Malipo ya fidia kwa waathirika wa ajali ya ndege kufanyika kwa siri
Africa East Africa

Malipo ya fidia kwa waathirika wa ajali ya ndege kufanyika kwa siri

Asia GambaNovember 14, 2022November 14, 2022

Mkurugenzi wa Shirika Precision Air, Patrick Mwanri amesema mchakato wa malipo ya fidia kwa familia zilizoathiriwa na ajali hiyo tayari umeshaanza ambapo utakuwa kati ya familia za waliothirika na shirika hilo na utakuwa wa siri na utafanyika kwa umakini mkubwa.

EAC kuzungumzia amani ya DRC, yapanga kuzungumza na Tshisekedi                       
Africa East Africa

EAC kuzungumzia amani ya DRC, yapanga kuzungumza na Tshisekedi                       

Asia GambaNovember 14, 2022November 14, 2022

Taarifa ya EAC kwa vyombo vya habari ilieleza kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo, Dk Peter Mathuki anatarajiwa kuungana na mwezeshaji wa mchakato wa amani mashariki mwa DRC, Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta katika kazi hiyo ya siku mbili iliyoanza jana.

Auawa kwa bomu akiwa kilabuni nchini Tanzania
Africa East Africa

Auawa kwa bomu akiwa kilabuni nchini Tanzania

Asia GambaNovember 14, 2022November 14, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Filemon Makungu alisema kuwa aliyeuawa kwenye tukio hilo ni Amos Petro (45) na watu wengine wawili walijeruhiwa.

Mvua ya upepo mkali yaezua nyumba 31 na kujeruhi watoto wawili nchini Tanzania
Africa East Africa

Mvua ya upepo mkali yaezua nyumba 31 na kujeruhi watoto wawili nchini Tanzania

Asia GambaNovember 11, 2022November 11, 2022

Akitoa taarifa mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Mpanda, Afisa mtendaji wa Kata ya Itenka Yegela Samike amesema mvua hiyo ilinyesha Novemba 9, 2022 majira ya saa 12:45 jioni.

Rais Samia aridhia wanafunzi 28,000 kupata mikopo kwa mwaka 2022/2023
Africa East Africa

Rais Samia aridhia wanafunzi 28,000 kupata mikopo kwa mwaka 2022/2023

Asia GambaNovember 11, 2022November 11, 2022

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia wanafunzi 28,000 waliokidhi vigezo vya kupata mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka 2022/2023 waende vyuoni kuendelea na usajili chini ya uratibu wa Wizara ya Elimu wakati taratibu muhimu zikikamilishwa.

Muswada wa Bima kwa wote waahirishwa kujadiliwa bungeni
Africa East Africa

Muswada wa Bima kwa wote waahirishwa kujadiliwa bungeni

Asia GambaNovember 11, 2022November 11, 2022

Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson amesema kuna mambo ambayo hawajaafikiana na Serikali hivyo umeondolewa katika ratiba ya shughuli za leo ambapo Bunge linaahirishwa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo