Tanzanian Vuta N’Kuvute (Tug of War) wins top prize at Carthage Film Festival
Tanzanian film “Tug of War” is about love and politics during the final years of British colonial Zanzibar
Tanzanian film “Tug of War” is about love and politics during the final years of British colonial Zanzibar
Mpaka sasa watu 26 wameokolewa na wamekimbizwa hospitalini, jitihada za kuokoa abiria waliosalia zinaendelea
Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini pia imeshuhudia nchi hiyo ikiipunguzia Tanzania sehemu ya deni lake lenye thamani ya shilingi bilioni 31.4.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema kutekelezwa kwa mradi wa Reli ya kisasa (SGR) kutoka Uvinza mkoani Kigoma nchini humo hadi Kindu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupitia Gitega nchini Burundi kutaongeza ufanisi katika matumizi ya Ukanda huru wa biashara Barani Afrika kwa kuimarisha usafirishaji wa watu na bidhaa.
Polisi watano wa kituo kidogo cha Uyole jijini Mbeya nchini Tanzania wamekamatwa kwa tuhuma za kula njama na kutaka kusafirisha wahamiaji haramu sita raia wa Ethiopia.
Rais Samia Suluhu Hassan amewasili mjini Beijing, China kwa ziara ya kiserikali inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
Kauli hiyo imetolewa leo bungeni Dodoma na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo.
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) imebaini utoaji wa mikopo inayofikia shilingi bilioni 1.76 kwa wanafunzi wasiostahili katika kipindi cha kati ya mwaka 2016 hadi mwaka 2018.
Mradi huo unahusisha visima saba na tenki la kuhifadhia maji lenye ukubwa la lita 15 milioni unatekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) umekamilika kipindi ambacho jiji la Dar es Salaam lina uhaba mkubwa wa maji.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza, Maili Makori amesema wanawasaka wazazi wa mtoto huyo waliotoweka mara baada ya mauaji hayo.