• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Japani Shinzo Abe amefanyiwa mazishi ya kitaifa hii leo.
Africa East Africa

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Japani Shinzo Abe amefanyiwa mazishi ya kitaifa hii leo.

Asia GambaSeptember 27, 2022September 27, 2022

Abe aliyefariki akiwa na miaka 67,  alikuwa waziri mkuu wa Japan aliyekaa muda mrefu zaidi na mmoja wa watu wanaotambulika sana kisiasa nchini humo, anayejulikana kwa kukuza ushirikiano wa kimataifa na mkakati wake wa kiuchumi wa “Abenomics”.

JTI kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania    
Africa East Africa

JTI kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania    

Asia GambaSeptember 27, 2022September 27, 2022

Ahadi hiyo imetolewa jana Jumatatu, Septemba 26, 2022 na Rais na Mtendaji Mkuu wa JTI, Masamichi Terabatake mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, aliyetembelea ofisi zao, ili kuwahakikishia utekelezaji wa mazungumzo yaliyofanyika wakati wa mkutano wa TICAD 8, jijini Tunis, Agosti, mwaka huu.

Saratani ya mlango wa kizazi yaendelea kuwa tishio kwa nchi za Afrika.
Africa East Africa

Saratani ya mlango wa kizazi yaendelea kuwa tishio kwa nchi za Afrika.

Asia GambaSeptember 27, 2022September 27, 2022

Waziri Ummy amesema, miongoni mwa hatua ambazo zimechukuliwa kukabili ugonjwa huo, Serikali imeiomba jumuiya ya kimataifa kushiriki katika mapambano ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

Ahukumiwa kuchapwa viboko 6 kwa kosa la ubakaji
Africa East Africa

Ahukumiwa kuchapwa viboko 6 kwa kosa la ubakaji

Asia GambaSeptember 26, 2022September 26, 2022

Mahakama ya mkoa Manyara imemhukumu John Emmanuel (18) mkazi wa kijiji cha Malangi wilayani Babati kuchapwa viboko sita (6) baada ya kukutwa na kosa la ubakaji.

Watu 11 wameuawa na wezi wa mifugo kaskazini mwa Kenya
Africa East Africa Environment

Watu 11 wameuawa na wezi wa mifugo kaskazini mwa Kenya

Joy CheptooSeptember 26, 2022September 26, 2022

Takriban watu 11, wakiwemo polisi wanane na chifu wa eneo hilo, wameuawa kaskazini mwa Kenya na wezi wa mifugo

Bisimba:Serikali ingekuwa inafanya kila kitu hata asasi za kiraia zisingekuwepo
Africa East Africa

Bisimba:Serikali ingekuwa inafanya kila kitu hata asasi za kiraia zisingekuwepo

Asia GambaSeptember 26, 2022September 26, 2022

Dkt. Kisimba amesema, asasi za kiraia zina mchango mkubwa katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja na hata kuisaidia serikali katika kuharakisha maendeleo kwa wananchi kwa kutekeleza majukumu ambayo pia yangeweza kufanywa na serikali.

Binti wa miaka 15 apigwa na mumewe kisa kumwaga dawa ya mbuzi
Africa East Africa

Binti wa miaka 15 apigwa na mumewe kisa kumwaga dawa ya mbuzi

Asia GambaSeptember 22, 2022September 22, 2022

Mesoni inadaiwa alipigwa baada ya kufungwa kwenye mti, kisha kuchapwa fimbo na mume wake, Namendea Lesiria kwa kushirikiana na rafiki yake, ambaye jina halijafahamika kwa kosa la kumwaga dawa ya mbuzi.

Wabunge tisa kuiwakilisha Tanzania bunge la Afrika Mashariki.
Africa East Africa

Wabunge tisa kuiwakilisha Tanzania bunge la Afrika Mashariki.

Asia GambaSeptember 22, 2022September 22, 2022

Wabunge hao wamechaguliwa leo Alhamisi, Septemba 22, 2022 bungeni jijini Dodoma.

Tanzania and Mozambique sign agreements to fight terrorism
Africa East Africa Politics

Tanzania and Mozambique sign agreements to fight terrorism

Joy CheptooSeptember 22, 2022September 22, 2022

Mozambique and Tanzania have signed two cooperation agreements in Maputo aimed at fighting terrorism and crime along their shared border.

Dk.Mollel:Hakuna Ebola Tanzania
Africa East Africa

Dk.Mollel:Hakuna Ebola Tanzania

Asia GambaSeptember 21, 2022September 21, 2022

Serikali ya Tanzania imesema hakuna mgonjwa wa Ebola aliyeripotiwa nchini humo huku  ikiwashauri wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy