• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Dk Mpango alitaka jeshi la Polisi Tanzania kutowaonea raia
Africa East Africa

Dk Mpango alitaka jeshi la Polisi Tanzania kutowaonea raia

Asia GambaAugust 18, 2022August 18, 2022

Ameyasema hayo leo Agosti 18 alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania Inspekta Jenerali Camillus Wambura katika ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam.

Rais Samia aendelea kupigia chapuo lugha ya Kiswahili
Africa East Africa

Rais Samia aendelea kupigia chapuo lugha ya Kiswahili

Asia GambaAugust 18, 2022August 18, 2022

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, mkuu huyo wa nchi yupo Jamhuri ya Demokrasia ya Congo kushiriki mkutano wa 42 wa nchi za Jumuiya hiyo.

Tanzania installs internet on Mount Kilimanjaro for Insta-ascents
Africa East Africa Nature Science & Tech

Tanzania installs internet on Mount Kilimanjaro for Insta-ascents

Joy CheptooAugust 18, 2022August 18, 2022

Tanzania has installed high-speed internet services on the slopes of Mount Kilimanjaro, allowing anyone with a smartphone to tweet, Instagram or WhatsApp their ascent up the mountain

Masauni ataka uchunguzi kuhusu maiti zilizookotwa kwenye viroba
Africa East Africa

Masauni ataka uchunguzi kuhusu maiti zilizookotwa kwenye viroba

Asia GambaAugust 18, 2022August 18, 2022

Maiti hizo ziliokotwa Agosti 11, 2022 zikiwa kwenye viroba katika kata ya Tunguli wilayani Kilindi mkoani Tanga na kupelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali Teule ya Wilayani Kilindi.

Tanesco yasitisha kuzima mifumo ya Luku
Africa East Africa

Tanesco yasitisha kuzima mifumo ya Luku

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Taarifa iliyotolewa asubuhi ya leo Jumatano na Meneja Mwandamizi wa Tehama wa shirika hilo, Cliff Maregeli alisema matengenezo hayo ya siku nne yalikuwa yaanze Agosti 22 – 25, 2022 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.

Dereva wa dalala adaiwa kumuua mpenzi wake Dar
Africa East Africa

Dereva wa dalala adaiwa kumuua mpenzi wake Dar

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatano Agosti 16, 2022 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Jumanne Muliro imeeleza kuwa tukio hilo limetokea Agosti 16, maeneo ya Kimara Suka.

Kesi ya mauaji ya askari polisi yakwama kuendelea ikisubiri upelelezi
Africa East Africa

Kesi ya mauaji ya askari polisi yakwama kuendelea ikisubiri upelelezi

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Katika kesi hiyo ya mauaji namba 11/2022, washtakiwa 10 kati ya 24 ni madiwani, yumo pia Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ngorongoro, Ndirango Laizer na wakazi wengine.

Mfumo wa ununuzi wa Luku kuzimwa kwa siku nne nchini Tanzania
Africa East Africa

Mfumo wa ununuzi wa Luku kuzimwa kwa siku nne nchini Tanzania

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Shirika la Umeme Tanzania limesema Wananchi nchini humo hawataweza kununua umeme kwa njia ya Luku kwa muda wa siku nne, Agosti 22 – 25, 2022 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi kutokana na matengenezo kwenye kanzidata ya mfumo wa Luku.

Watu nane wafariki kwenye ajali iliyohusisha Lori na magari mengine mawili
Africa East Africa

Watu nane wafariki kwenye ajali iliyohusisha Lori na magari mengine mawili

Asia GambaAugust 16, 2022August 16, 2022

Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani humo, Urlich Matei amethibitisha kutokea tukio hilo akisema gari kubwa lililokuwa limebeba kontena la mchanga lilifeli breki na kuligonga basi la Super Rojas lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Njombe.

Majaliwa: Sensa ni muhimu kwa wafanyabiashara kutathimini uwezo wao wa kibiashara
Africa East Africa

Majaliwa: Sensa ni muhimu kwa wafanyabiashara kutathimini uwezo wao wa kibiashara

Asia GambaAugust 16, 2022August 16, 2022

Ametoa kauli hiyo jana Jumatatu, Agosti 15, 2022, wakati akizungumza na wadau wa sekta binafsi juu ya umuhimu wa ushiriki wao kwenye Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika nchini Agosti 23, 2022 kwenye kikao kilichofanyika ukumbi wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy