• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Mkurugenzi Dar asimamishwa kazi kwa ubadhirifu wa fedha.
Africa East Africa

Mkurugenzi Dar asimamishwa kazi kwa ubadhirifu wa fedha.

Asia GambaJuly 12, 2022July 12, 2022

Watumishi hao wamesimamishwa kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za serikali zaidi ya shilingi bilioni 10 zilizokusanywa na hazikuwasilishwa benki kama sheria inavyoelekeza.

Mfalme Zumaridi amkataa hakimu
Africa East Africa

Mfalme Zumaridi amkataa hakimu

Asia GambaJuly 11, 2022July 11, 2022

Katika kesi hiyo Mfalme Zumaridi na wenzake nane wanakabiliwa na shtaka la kushambulia na kumsababishia majeraha Ofisa wa Jeshi la Polisi na kumzuia Ofisa Ustawi wa Jamii kutekeleza majukumu yake.

Rais wa Sri Lanka huenda akakimbilia uhamishoni
Africa

Rais wa Sri Lanka huenda akakimbilia uhamishoni

Asia GambaJuly 11, 2022July 11, 2022

Hakukuwa na taarifa rasmi kutoka ofisi ya rais kuhusu aliko, lakini ripoti kadhaa za vyombo vya habari zilikisia kwamba alikuwa anatazamiwa kuondoka kuelekea Dubai 

Pesa za Rais wa Sri Lanka  kukabidhiwa mahakamni leo
Africa

Pesa za Rais wa Sri Lanka  kukabidhiwa mahakamni leo

Asia GambaJuly 11, 2022July 11, 2022

Waandamanaji waligundua rupia milioni 17.85 (kama dola 50,000) katika noti mpya lakini wakazikabidhi kwa polisi kufuatia shambulio la Jumamosi la Ikulu ya Rais.

Aliyetumika kufanya mauaji kwakukodiwa nchini Tanzania naye auawa.
Africa East Africa

Aliyetumika kufanya mauaji kwakukodiwa nchini Tanzania naye auawa.

Asia GambaJuly 11, 2022July 11, 2022

Inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa anatafutwa na polisi kwa muda mrefu kwa tuhuma za kukata mapanga watu maeneo tofauti.

Uamuzi kesi ya kina Mdee na wenzake kutolewa leo.
Africa East Africa

Uamuzi kesi ya kina Mdee na wenzake kutolewa leo.

Asia GambaJuly 8, 2022July 8, 2022

Mdee na wenzake waliwasilisha maombi hayo Mei 13, mwaka huu wakiomba mahakama iwapatie kibali cha kufungua kesi ya mapitio ya kimahakama dhidi ya Baraza la Wadhamini la Chadema, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Juni 30, mwaka huu maombi hayo yalisikilizwa na Jaji Mustapha Ismail na kupanga kutoa uamuzi leo saa 6:00 mchana.

Mashauri kushughulikiwa saa 24 kupunguza msongamano wa kesi.
Africa East Africa

Mashauri kushughulikiwa saa 24 kupunguza msongamano wa kesi.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Kitengo cha Maboresho ya Mahakama, Dk. Angelo Rumisha wakati Benki ya Dunia ilipotembelea banda la mahakama katika maonesho ya 46 ya Sabasaba, Dar es Salaam.

Sri Lanka yaiomba Urusi kutoa mafuta na kuanza tena safari za ndege za watalii kusaidia nchi hiyo.
Africa East Africa

Sri Lanka yaiomba Urusi kutoa mafuta na kuanza tena safari za ndege za watalii kusaidia nchi hiyo.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Taifa hilo la kisiwa limekumbwa na ukosefu wa umeme kwa miezi kadhaa, mfumuko wa bei uliokithiri na uhaba mkubwa wa chakula na petroli baada ya kukosa fedha za kigeni kufadhili uagizaji bidhaa kutoka nje.

Aliyeua watu sita wa familia moja akamatwa mkoani Kigoma
Africa East Africa

Aliyeua watu sita wa familia moja akamatwa mkoani Kigoma

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Akitoa taarifa hiyo leo, Julai 6, 2022, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi nchini, Liberatus Sabas amesema jeshi hilo limejiridhisha bila kuona shaka kuwa mtu huyo ndiye amefanya mauaji peke yake.

Kiswahili sasa rasmi nchini Uganda
Africa East Africa

Kiswahili sasa rasmi nchini Uganda

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Kiswahili, ambacho asili yake ni Afrika Mashariki, ni mojawapo ya lugha 10 zinazozungumzwa na watu wengi zaidi duniani ikiwa na wazungumzaji takriban milioni 200.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy