Remembering the Legacies of Tanzania’s Three Departed Former Presidents
Tanzania has faced the somber reality of losing three of its distinguished leaders in recent years, Benjamin Mkapa in 2020, John Magufuli in 2021, and Ali Hassan Mwinyi in 2024
Tanzania has faced the somber reality of losing three of its distinguished leaders in recent years, Benjamin Mkapa in 2020, John Magufuli in 2021, and Ali Hassan Mwinyi in 2024
Lowassa amefarikI Februari 10,2024 siku ya Jumamosi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyoko jijini Dar es salaam.
Miswada hiyo ambayo imeibua mjadala pamoja na kupingwa na wadau mbalimbali ikiwamo vyama vya siasa, imetajwa kuwa na uzito wa kipekee kiasi cha kuongezewa muda wa wiki moja tofauti na utaratibu wa kawaida wa bunge kukaa wiki mbili.
Chadema has been campaigning for constitutional reforms and greater independence for the electoral commission to be included in the legislation to be debated by lawmakers in February.
Mbowe amekutana na Balozi Battle ikiwa zimebaki siku 6 kuelekea maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika Januari 24,2024.
Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema tayari kimewasilisha barua kwa mamlaka za Polisi nchini humo juu ya kuzijulisha maandalizi yake ya kufanyika kwa Maandamano ya amani yatakayofanyika January 24 ambapo wameeleza kuwa maandamano hayo yatahitimishwa katika ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam.
Meli hiyo inayoitwa Norwegian Cruise Line Dawn yenye urefu wa mita 294, imetajwa kuwa kubwa zaidi kuwasili katika bandari zote nchini tangu kuanzishwa kwake. Norwegian Cruise Line Dawn ilianza kufanya kazi mwaka 2002 ikiwa na thamani ya zaidi ya Sh1 trilioni.
Msimamo huo umetolewa leo tarehe 15 Januari 2022 kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje Chadema, John Mrema, ikiwa ni siku moja baada ya Makonda kutaka mdahalo na viongozi wa chama hicho
Dk Nchimbi anachukua nafasi ya Daniel Chongolo ambaye alijiuzulu kwa kile alichodai kuwa amechafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.
Mahakama ya kikatiba ya Uganda siku ya Jumatatu ilianza kusikiliza pingamizi la kwanza la sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo imezua ukosoaji kutoka kwa Umoja wa Mataifa na kusababisha vikwazo vya viza vya Marekani kwa maafisa wa serikali.