Elon Musk Anyimwa Malipo ya Fidia ya Dola Bilioni 56
Mahakama ya Delaware kwa mara nyingine tena imefutilia mbali malipo ya fidia ya dola bilioni 56 kwa Elon Musk, mtendaji mkuu wa kampuni ya magari ya umeme Tesla.
Mahakama ya Delaware kwa mara nyingine tena imefutilia mbali malipo ya fidia ya dola bilioni 56 kwa Elon Musk, mtendaji mkuu wa kampuni ya magari ya umeme Tesla.
The babies, whom Insider report were born in November, arrived just weeks before Musk, 51, and music artist Grimes had their second child via surrogate.
News outlet Insider, reports that Musk’s rocket company SpaceX, paid a woman $250,000 in 2018 to settle a misconduct claim against him.
Tangazo la Ijumaa lilisababisha hisa za Twitter kushuka kwa asilimia 20
Wanaharakati wa kiraia wana wasiwasi kwamba Musk,atawaruhusu watu wenye msimamo mkali waliopigwa marufuku kurudi kwenye jukwaa hilo.
Musk alitajwa kujiunga na bodi ya Twitter baada ya kununua hisa za asilimia 9.2 na kuwa mwanahisa wake mkubwa zaidi.
Kwa sasa Elon Musk ndiye mtu tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 287.6, kulingana na Forbes.
Kulingana na wanahistoria, Mansa Musa bado ndio mtu tajiri zaidi aliyewahi kuishi,thamani yake kwa viwango vya fedha vya sasa ni dola bilioni 400.