Ethiopia yafanya mkutano wa kwanza wa kamati ya amani
Bodi maalum iliyoteuliwa na serikali ya Ethiopia kuangalia uwezekano wa mazungumzo ya amani na waasi wa Tigray imefanya mkutano wake wa kwanza, msaidizi mkuu wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed alisema
Bodi maalum iliyoteuliwa na serikali ya Ethiopia kuangalia uwezekano wa mazungumzo ya amani na waasi wa Tigray imefanya mkutano wake wa kwanza, msaidizi mkuu wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed alisema
“Mmoja wao alinibaka uani na mwingine alimbaka mama yangu ndani ya nyumba,” mwathiriwa
The vote by lawmakers followed a proposal by Prime Minister Abiy Ahmed’s cabinet last month to ease the state of emergency.
Rebels from the Tigray People’s Liberation Front (TPLF) say government forces are continuing to wage air strikes despite them retreating to their Tigray stronghold.
Committee to Protect Journalists (CPJ) says Ethiopian authorities are using wartime emergency laws to lock up reporters.
Wanariadha Haile Gebrselassie na Feyisa Lilesa wamesema wako tayari kwenda mstari wa mbele katika vita dhidi ya vikosi vya waasi.
Agizo hilo lilitolewa baada ya Ufaransa kuwa nchi ya hivi punde kuwashauri raia wake kuondoka Ethiopia, kufuatia ushauri sawa na wa Amerika na Uingereza
Fears of a rebel advance on the capital have prompted several countries to pull out non-essential diplomatic staff.
WHO warns that people are starving to death.
Mapigano Ethiopia yamekuwa yakiendelea tangu Novemba 2020 na yamesababisha njaa kali na vifo vya takriban watu 400,000 kufikia sasa.