Elon Musk asema mpango wa kununua Twitter ‘umesitishwa kwa muda’
Tangazo la Ijumaa lilisababisha hisa za Twitter kushuka kwa asilimia 20
Tangazo la Ijumaa lilisababisha hisa za Twitter kushuka kwa asilimia 20
Wanaharakati wa kiraia wana wasiwasi kwamba Musk,atawaruhusu watu wenye msimamo mkali waliopigwa marufuku kurudi kwenye jukwaa hilo.
Musk alitajwa kujiunga na bodi ya Twitter baada ya kununua hisa za asilimia 9.2 na kuwa mwanahisa wake mkubwa zaidi.
Kwa sasa Elon Musk ndiye mtu tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 287.6, kulingana na Forbes.
“I think, by the end of March, we’re going to be fully operational — at least within the United States,”
“I’ve decided to leave Twitter because I believe the company is ready to move on from its founders,” Dorsey said in a statement Monday.
“I’ve decided to leave Twitter because I believe the company is ready to move on from its founders,” Dorsey said in a statement Monday.
“I created TRUTH Social and TMTG to stand up to the tyranny of Big Tech”
Nigeria Lifts Twitter Ban With Limits After Four-Month Sanction