Russian invasion has cost Ukraine ‘$1 trillion’
Russia’s invasion of Ukraine has caused almost $1 trillion of damage, a Kyiv government official said Thursday, as the war batters the country’s economy.
Russia’s invasion of Ukraine has caused almost $1 trillion of damage, a Kyiv government official said Thursday, as the war batters the country’s economy.
The pope has repeatedly called for peace in Ukraine and denounced a “cruel and senseless war” without mentioning Putin or Moscow by name.
Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, Filippo Grandi amesema waukraine 5,034,439 wameondoka nchini mwao tangu kuanza kwa uvamizi wa Urusi tarehe 24 ya mwezi Februari mwaka huu.
Explosions were heard in the Vasylkiv area outside the capital
Leo Machi 24, Ukraine inatimiza mwezi mmoja tangu iingie kwenye vita na Urusi baada ya Urusi kuanza kuishambulia Ukraine Februari 24.
Amebainisha kuwa wapatanishi wanafanya kazi bila kuchoka na kwamba watapumzika watakaposhinda. Kiongozi huyo wa Ukraine ameishukuru jumuiya ya kimataifa kwa kuiunga mkono nchi yake.
Urusi ilikuwa imeipa Ukraine hadi saa kumi na moja alfajir ya leo kuwa imesalimu amri mjini Mariupol, lakini haikusema itafanya nini ikiwa Ukraine itakataa kuheshimu matakwa yake.
Women and children account some 90 percent of those who have fled.
“What’s happening now in Mariupol is a massive war crime, destroying everything, bombarding and killing everybody,” Josep Borrell said
Mbali na kuongezeka kwa mahitaji ya kibinadamu UNFPA ilibainisha kuwa watoto wameuawa, kujeruhiwa, na wanatiwa kiwewe sana na ghasia zinazowazunguka. Mamia kwa maelfu ya watoto wametenganishwa na familia zao na kukimbilia nchi jirani kusaka hifadhi.