• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Vladamir Putin

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Europe Features International

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea
Europe International Politics

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake
Europe Features Football International People

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Uamuzi wa serikali ya Uingereza kufungia mali yake unalemaza shughuli za Klabu ya Soka ya Chelsea, kiungo muhimu cha utajiri wa Abramovich, na kutoa pigo lingine kubwa kwa biashara yake.

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa
Europe Features International People Politics

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde
Europe Features People Politics

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi
Europe Features International Politics

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Vladamir Putin ameahidi atatimiza lengo lake kwa njia yoyote ile iwe “kwa mazungumzo au kupitia vita”

Bei ya gesi yapanda maradufu kutokana na hofu ya kukosa usambazaji kutoka Urusi
Europe Features International Politics

Bei ya gesi yapanda maradufu kutokana na hofu ya kukosa usambazaji kutoka Urusi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Urusi ni mojawapo ya nchi zinazozalisha mafuta ghafi kwa wingi zaidi duniani na pia inaongoza kwa kusambaza gesi asilia.

Urusi yawakamata zaidi ya watu 5,000 kwa kushiriki maandamano ya kupinga vita vyake na Ukraine
Europe Features International Politics

Urusi yawakamata zaidi ya watu 5,000 kwa kushiriki maandamano ya kupinga vita vyake na Ukraine

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Maandamano ya kupinga vita nchini Urusi yameendelea licha ya onyo kutoka kwa mamlaka na hatari ya kufungwa jela.

China iko tayari kupatanisha Ukraine na Urusi inasema urafiki wake na Urusi ni “thabiti’
Europe Features International People Politics

China iko tayari kupatanisha Ukraine na Urusi inasema urafiki wake na Urusi ni “thabiti’

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Beijing imejipata katika hali ngumu ya kidiplomasia katika kipindi chote cha mzozo huo, ikikataa kulaani mshirika wake wa karibu Moscow.

Zelensky anasema ikiwa Ukraine itaanguka, mataifa mengine  ya Baltic pia yataanguka
Europe Features International People Politics

Zelensky anasema ikiwa Ukraine itaanguka, mataifa mengine  ya Baltic pia yataanguka

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Zelensky alitoa wito wa mazungumzo ya moja kwa moja na kiongozi wa Urusi Vladimir Putin, akisema “ndio njia pekee ya kukomesha vita hivi”.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo