• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: January 24, 2022

Abiria apatikana hai baada ya kusafiri saa 11 katika gurudumu la ndege
Africa Europe International

Abiria apatikana hai baada ya kusafiri saa 11 katika gurudumu la ndege

Maureen MedzaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Mwanamume huyo anayeaminika kuwa kati ya umri wa miaka 16 hadi 35 alipatikana kwenye sehemu ya gurudumu la ndege hiyo.

Maduka ya dawa binafsi yaliyo nje ya hospitali za Serikali kuondolewa
Africa

Maduka ya dawa binafsi yaliyo nje ya hospitali za Serikali kuondolewa

Asia GambaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Imeelezwa kwamba maduka hayo yapo kinyume cha kanuni ya Famasia

Serikali ya Cameroon imesema watu 16 wameuawa kwenye moto katika klabu ya usiku
Africa

Serikali ya Cameroon imesema watu 16 wameuawa kwenye moto katika klabu ya usiku

Maureen MedzaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Mkasa huo umetokea wakati taifa hilo likiwa mwenyeji wa mashindano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON

Rais wa Burkina Faso Kabore azuiliwa katika kambi ya kijeshi
Africa Features People Politics

Rais wa Burkina Faso Kabore azuiliwa katika kambi ya kijeshi

Maureen MedzaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Serikali ilikuwa imekanusha uvumi siku ya Jumapili kwamba mapinduzi yalikuwa yakiendelea huku milio ya risasi ikisikika katika kambi tofauti za kijeshi.

UNICEF:Walichopoteza watoto kielimu kutokana na COVID-19 ni vigumu kurekebishika
Africa

UNICEF:Walichopoteza watoto kielimu kutokana na COVID-19 ni vigumu kurekebishika

Asia GambaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Kuvurugika kwa mfumo wa utoaji elimu iwe kwa shule kufungwa kabisa au mchanganyiko wa kusomea nyumbani na mtandaoni kumeathiri zaidi ya watoto milioni 635 duniani kote.

Mifumo ya elimu yatakiwa kwenda sawa na kasi ya Teknolojia
Africa

Mifumo ya elimu yatakiwa kwenda sawa na kasi ya Teknolojia

Asia GambaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asema mifumo iliyopo sasa imepitwa na wakati

Rais wa Armenia ajiuzulu akisema Katiba haimpi ushawishi wa kutosha
Europe International People Politics

Rais wa Armenia ajiuzulu akisema Katiba haimpi ushawishi wa kutosha

Maureen MedzaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Armen Sarkissian, amekuwa rais tangu 2018, alikuwa katika mzozo na Waziri Mkuu Nikol Pashinyan kuhusu kufutwa kazi kwa mkuu wa majeshi.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo