Utawala wa Mali waitisha maandamano dhidi ya vikwazo vilivyowekewa nchi hiyo
Maandamano yakupinga vikwazo vikali vya kikanda yalitarajiwa kuanza Ijumaa huku shinikizo la kimataifa likiongezeka kuhusu kucheleweshwa kwa uchaguzi.
Maandamano yakupinga vikwazo vikali vya kikanda yalitarajiwa kuanza Ijumaa huku shinikizo la kimataifa likiongezeka kuhusu kucheleweshwa kwa uchaguzi.
President Julius Bio says the country will move to a system of proportional voting.
Lee, mwanasheria wa haki za binadamu aliyegeuka kuwa mwanasiasa, alisema watu wenye matatizo ya kupoteza nywele wamebaguliwa kwa muda mrefu.
Suspected plot to “destabilise institutions” was uncovered this week.
Tedros this week described conditions in the Ethiopian region as “hell” and said the government was preventing medicines and other life-saving aid from reaching locals.
Jina hilo limeibuliwa na wakili wa utetezi John Mallya wakati akimuhoji shahidi maswali
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewakuta na kesi ya kujibu Sabaya na wenzake sita katika kesi inayowakabili ya Uhujumu Uchumi
Mnamo tarehe 30 Novemba, wanajeshi wa Uganda walijiunga na wanajeshi wa Congo katika msako mkali dhidi ya ADF katika eneo la Beni.
Nchi hiyo ya Afrika Magharibi ina historia ndefu ya mapinduzi na inapambana na waasi wa kijihadi waliotokea nchi jirani ya Mali mwaka 2015.
Hali hiyo imetajwa kusababishwa na ukosekanaji wa maji na malisho uliovikumba vijiji vya wilaya hiyo.