• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: February 24, 2022

Waliotuhumiwa kwa ugaidi waachiwa huru baada ya kukaa mahabusu miaka minne
East Africa

Waliotuhumiwa kwa ugaidi waachiwa huru baada ya kukaa mahabusu miaka minne

Asia GambaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Mtwara imewaachia kwa dhamana watu watatu walioshitakiwa mwaka 2017 kwa kosa la Ugaidi kwa madai ya kujiunga na kikundi cha Hisbu Tahir kinachodaiwa kushawishi watu kujiunga nacho na kuanzisha dola ya kiislamu nchini.

Waziri Mkuu wa zamani wa Guinea-Bissau apigwa marufuku kuondoka nchini humo
Africa People Politics

Waziri Mkuu wa zamani wa Guinea-Bissau apigwa marufuku kuondoka nchini humo

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Pereira, alishindwa katika uchaguzi wa urais wa 2019 na Embalo, ndiye kiongozi wa Chama cha African Party for the Independence of Guinea and Cape Verde (PAIGC).

Daraja lililojengwa kwa gharama ya Ksh 100M laporomoka
East Africa

Daraja lililojengwa kwa gharama ya Ksh 100M laporomoka

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Daraja la Paai liligharimu takriban Ksh 100M na lilizinduliwa mwezi Febuari mwaka huu na gavana wa Kajiado Ole Lenku

Vikosi vya ardhini vya Urusi vyavuka mpaka na kuingia Ukraine: Kyiv
Europe Features International Politics

Vikosi vya ardhini vya Urusi vyavuka mpaka na kuingia Ukraine: Kyiv

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Ukraine imepata hasara kubwa katika mzozo wake wa miaka minane na waasi wanaoungwa mkono na Urusi katika eneo la mashariki linalotaka kujitenga

Nigeria yaharibu hekta 255 za mimea ya bangi
Africa

Nigeria yaharibu hekta 255 za mimea ya bangi

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Upandaji na utumizi wa bangi umeongezeka katika nchi hiyo katika miaka ya hivi karibuni, licha ya kuwa ni kinyume cha sheria.

Waziri wa zamani wa Morocco ahukumiwa kifungo baada ya video yake ya ‘uzinzi’ kusambaa mitandaoni
Africa Gender People Politics

Waziri wa zamani wa Morocco ahukumiwa kifungo baada ya video yake ya ‘uzinzi’ kusambaa mitandaoni

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

video inadaiwa kumuonyesha Zaine akiwa katika hali tata na mwanamke aliyeolewa kwenye chumba cha hoteli.

Putin announces military operation in eastern Ukraine
Europe International War & Conflicts

Putin announces military operation in eastern Ukraine

Justus TharaoFebruary 24, 2022July 2, 2024

President Biden said he would “hold Russia accountable.”

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo