• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 1, 2022

Mwendesha mashtaka: ICC kuanza uchunguzi kuhusu hali ‘ilivyo nchini Ukraine’
Europe Features International People Politics

Mwendesha mashtaka: ICC kuanza uchunguzi kuhusu hali ‘ilivyo nchini Ukraine’

Maureen MedzaMarch 1, 2022March 1, 2022

“Nimeridhika kwamba kuna msingi mzuri wa kuamini kwamba uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu umefanywa nchini Ukraine” tangu 2014, Karim khan

Wanadiplomasia 12 wa Urusi wa Umoja wa Mataifa  wafurushwa kutoka Amerika: mjumbe wa Urusi
Europe Features International People Politics

Wanadiplomasia 12 wa Urusi wa Umoja wa Mataifa  wafurushwa kutoka Amerika: mjumbe wa Urusi

Maureen MedzaMarch 1, 2022March 1, 2022

Ujumbe wa Urusi katika Umoja wa Mataifa una takriban wafanyikazi 100, kulingana na chanzo cha kidiplomasia cha Urusi.

Mtoto ajeruhiwa kwenye mlipuko uliotokea leo Ukraine
Africa

Mtoto ajeruhiwa kwenye mlipuko uliotokea leo Ukraine

Asia GambaMarch 1, 2022March 1, 2022

Kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ukraine mlipuko huo uliharibu pia jengo la serikali, na kuzidi kuleta hofu kwa raia.

Je, vikwazo vilivyowekewa Urusi vitakuwa na athari gani kwa Urusi na dunia?
Features International People Politics

Je, vikwazo vilivyowekewa Urusi vitakuwa na athari gani kwa Urusi na dunia?

Maureen MedzaMarch 1, 2022March 1, 2022

Vikwazo vya kiuchumi pia vinajumuisha kufungia mali ya benki na ya watu binafsi bila kujumuisha benki fulani za Kirusi kutoka kwa interbank SWIFT na udhibiti wa mauzo ya nje.

Serikali za Afrika zang’ang’ana kuwasaidia raia wake nchini Ukraine baada ya madai ya kudhulumiwa
Africa Europe Features International Politics

Serikali za Afrika zang’ang’ana kuwasaidia raia wake nchini Ukraine baada ya madai ya kudhulumiwa

Maureen MedzaMarch 1, 2022March 1, 2022

Waafrika nchini Ukraine, wengi wao wakiwa wanafunzi, ni miongoni mwa mamia ya maelfu ya watu wanaojaribu kukimbilia Poland na mataifa mengine jirani.

Simba kurejea Tanzania kinyonge
East Africa

Simba kurejea Tanzania kinyonge

Asia GambaMarch 1, 2022March 1, 2022

Klabu ya SIMBA inatarajiwa kurejea nchini leo mchana majira ya saa saba ikitokea Morocco baada ya kumalizika kwa michezo yao miwili ya Kombe la Shirikisho.

Historia ya Ukraine na Urusi na vita vinavyoendelea
Europe Features International People Politics

Historia ya Ukraine na Urusi na vita vinavyoendelea

Maureen MedzaMarch 1, 2022March 1, 2022

Historia na utamaduni wa Urusi na Ukraine unafanana- wanashiriki dini moja ya Kikristo ya Orthodox, na lugha zao, mila na vyakula vya kitaifa vinafanana.

Wahamiaji tisa wazama karibu na Tunisia
Africa Europe Middle East

Wahamiaji tisa wazama karibu na Tunisia

Maureen MedzaMarch 1, 2022March 1, 2022

Shirika la UN la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema takriban wahamiaji 1,300 walitoweka au kufa maji mwaka jana katika bahari ya Mediterania.

Posts navigation

Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo