• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 2, 2022

Amuua baba yake mzazi kisa imani za kishirikina
Africa East Africa

Amuua baba yake mzazi kisa imani za kishirikina

Asia GambaMarch 2, 2022March 2, 2022

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora, Richard Abwao amewaambia wanahabari leo kuwa tukio hilo limetokea juzi saa moja jioni katika eneo hilo, ambapo marehemu alishambuliwa akiwa nje ya nyumba yake na kukimbizwa hospitali ya Ndalla lakini alifariki dunia 

Dk Mwigulu:Sikumbuki siku hata moja ambayo tulikuwa hata na ratiba ya lunch kwenye ziara ya Rais
Africa East Africa

Dk Mwigulu:Sikumbuki siku hata moja ambayo tulikuwa hata na ratiba ya lunch kwenye ziara ya Rais

Asia GambaMarch 2, 2022March 2, 2022

Dk Mwigulu ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumzia mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyoifanya katika nchi hizo siku chache zilizopita.

Kesi ya Makonda ngoma nzito, apewa siku 21 kuwasilisha hati kinzani
Africa East Africa

Kesi ya Makonda ngoma nzito, apewa siku 21 kuwasilisha hati kinzani

Asia GambaMarch 2, 2022March 2, 2022

Alieyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam impe muda wa kujibu maombi yaliyofunguliwa na mwanahabari, Saed Kubenea ya kutaka kumfungulia kesi ya jinai. 

EU yaweka mpango kwa wakimbizi wa Ukraine kukaa miaka 2 katika Umoja huo
Europe Features International Politics

EU yaweka mpango kwa wakimbizi wa Ukraine kukaa miaka 2 katika Umoja huo

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Pendekezo la mtendaji mkuu wa EU litawapa wakimbizi kutoka Ukraine na familia zao kibali cha kuishi na haki ya kupata kazi na elimu kwa miaka miwili.

TEC watoa waraka wa Kwaresima,wasisitiza upatanisho, demokrasia
Africa East Africa

TEC watoa waraka wa Kwaresima,wasisitiza upatanisho, demokrasia

Asia GambaMarch 2, 2022March 2, 2022

Waraka huo wenye kurasa 44, umetolewa na maaskofu wa katoliki 35 ikiwa leo ni Jumatano ya Majivu ambayo ni mwanzo wa kipindi cha Kwaresima, kipindi ambacho madhebu ya kikristo hutumia kipindi hiki kama sehemu pia ya kutubu dhambi zao

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari atasafiri hadi London kwa uchunguzi wa kimatibabu
Africa Lifestyle & Health People

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari atasafiri hadi London kwa uchunguzi wa kimatibabu

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Buhari, 79, amekumbana na maswali mengi juu ya afya yake baada ya kukaa zaidi ya siku 100 huko London mnamo 2017 akipokea matibabu ya ugonjwa ambao haukujulikana.

Bei ya Mafuta ya Petroli na Dizeli yapanda nchini Tanzania
Africa East Africa

Bei ya Mafuta ya Petroli na Dizeli yapanda nchini Tanzania

Asia GambaMarch 2, 2022March 2, 2022

Ewura imetangaza bei hizo leo kuhusu bei za mafuta zitakazoanza kutumika kesho, imeainisha kuwa huenda gharama za mafuta zingekuwa juu zaidi kama Serikali isingeahirisha kodi ya shilingi 100 kwa kila lita moja ya mafuta.

Misri yatangaza kuongezeka kwa ushuru kwa utumizi wa Mfereji wa Suez
Africa Features International Middle East

Misri yatangaza kuongezeka kwa ushuru kwa utumizi wa Mfereji wa Suez

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Ushuru kwa meli za mafuta ya petroli zitapandishwa kwa asilimia 10 kwa ada ya kutumia mfereji huo huku wachukuzi wa gesi asilia na meli za mizigo za jumla zitapata ongezeko la asilimia saba

Msigwa:Serikali haijalipia kuweka tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa. 
Africa East Africa

Msigwa:Serikali haijalipia kuweka tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa. 

Asia GambaMarch 2, 2022March 2, 2022

Msigwa amesema tangazo hilo la Tanzania linaonekana kuitangaza nchi hiyo limewekwa kutokana na uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu. 

Uchunguzi kufanyika chanzo cha ndege kupata ajali Comoro.
Africa East Africa

Uchunguzi kufanyika chanzo cha ndege kupata ajali Comoro.

Asia GambaMarch 2, 2022March 2, 2022

Ndege hiyo ilipata ajali ikiwa chini ya kampuni ya Airline AB Aviation ya Comoro, baada ya kuikodisha kutoka kampuni ya Fly Zanzibar na ilikuwa imeshatimiza takribani wiki moja tangu ianze kazi huko.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo