• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 8, 2022

Mkuu wa Upinzani Sudan akamatwa kwenye maandamano
Africa Politics

Mkuu wa Upinzani Sudan akamatwa kwenye maandamano

Maureen MedzaMarch 8, 2022July 2, 2024

Sudan yamkamata kiongozi mkuu wa upinzani huku kukiwa na ukandamizaji wa waandamanaji Vikosi vya usalama vya Sudan vilimkamata kiongozi mkuu…

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde
Europe Features People Politics

Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.

Askofu Bagonza:Katiba Mpya ni msaada kwa watawala
Africa East Africa

Askofu Bagonza:Katiba Mpya ni msaada kwa watawala

Asia GambaMarch 8, 2022March 8, 2022

Askofu Bagonza ameyasema hayo leo kwenye sherehe ya wanawake wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania chama cha CHADEMA, ambapo waliungana na wanawake wengine duniani katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani inayoadhimishwa kila mwaka ifikapo Machi 8.

Watu watano wafariki baada ya jengo kuporomoka
Africa

Watu watano wafariki baada ya jengo kuporomoka

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Jengo hilo la orofa nne liliporomoka usiku wa Jumapili katika wilaya ya Angre, ambako kumeshuhudiwa ujenzi wa majumba mengi ya biashara na makazi katika miaka ya hivi karibuni.

Moderna yaanzisha kituo cha kwanza cha kuzalisha chanjo ya UVIKO 19 nchini Kenya
East Africa Features Lifestyle & Health

Moderna yaanzisha kituo cha kwanza cha kuzalisha chanjo ya UVIKO 19 nchini Kenya

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Moderna ilisema ilitarajia kuwekeza dola milioni 500 katika kituo hicho kipya, ambacho kitatoa chanjo kwa bara la watu bilioni 1.3.

Ijue historia ya siku ya wanawake duniani.
Africa East Africa

Ijue historia ya siku ya wanawake duniani.

Asia GambaMarch 8, 2022March 8, 2022

Siku ya wanawake duniani hujulikana pia kama  IWD kwa ufupi, ilikua inatokana na vuguvugu la wafanyakazi na kuwa tukio la kila mwaka linalotambuliwa na Umoja wa Mataifa (UN).

Watu wanne wafariki kutokana na homa ya manjano nchini Kenya
Africa Features Lifestyle & Health

Watu wanne wafariki kutokana na homa ya manjano nchini Kenya

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Ugonjwa huo huenezwa na mbu wale wale wanaoneza magonjwa ya Zika na dengue.

Kenya: Polisi yawatia mbaroni waendesha bodaboda 16 kwa kumshambulia mwanamke
East Africa Features Gender

Kenya: Polisi yawatia mbaroni waendesha bodaboda 16 kwa kumshambulia mwanamke

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Kamanda wa Trafiki Nairobi Joshua Omukata alisema washukiwa hao 16 wanazuiliwa katika Kituo cha Polisi cha Parklands huku uchunguzi kuhusu kisa hicho ukiendelea.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo