Msimamizi wa gereza ajiua kwa kujipiga risasi
Kulingana na ripoti ya polisi, afisa huyo alikuwa amelewa.Inaarifiwa kuwa mkewe alifika langoni na kumwomba pesa za chakula lakini afisa huyo alikataa akisema hana.
Kulingana na ripoti ya polisi, afisa huyo alikuwa amelewa.Inaarifiwa kuwa mkewe alifika langoni na kumwomba pesa za chakula lakini afisa huyo alikataa akisema hana.
Balozi Mulamula amesema kwa miaka mingi sasa Tanzania inaamini katika kutafuta muafaka na maridhiano kwa kutumia njia ya diplomasia ili kumaliza migogoro.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema mauaji hayo yametokea Machi 22,2022 majira ya saa nane mchana katika mtaa huo na watu ambao bado hawajajulikana.