• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 28, 2022

Apandishwa kizimbani kwa kumdhalilisha mwanafuzi wa darasa la pili.
Africa East Africa

Apandishwa kizimbani kwa kumdhalilisha mwanafuzi wa darasa la pili.

Asia GambaMarch 28, 2022March 28, 2022

Mzee huyo anadaiwa kumvua nguo kisha kumwingizia kidole sehemu za siri binti wa darasa la pili mjini Igunga 

Kenya yawaachilia waendesha bodaboda 16 waliokuwa wameshikiliwa kwa kumnyanyasa kijinsia dereva mwanamke
Features

Kenya yawaachilia waendesha bodaboda 16 waliokuwa wameshikiliwa kwa kumnyanyasa kijinsia dereva mwanamke

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Mahakama ya Nairobi iliamuru waachiliwe huru baada ya upande wa mashtaka kusema hawakuwa na ushahidi wa kutosha kuwahusisha waendeshaji bodaboda hao na uhalifu.

“Sanaa yaiga maisha,” Will Smith baada ya kumzaba kofi mcheshi Chris Rock wakati wa tuzo za Oscars
Arts & Culture Entertainment Features International People

“Sanaa yaiga maisha,” Will Smith baada ya kumzaba kofi mcheshi Chris Rock wakati wa tuzo za Oscars

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Rock alifanya mzaha akilinganisha nywele za Jada Pinkett Smith alizonyoa na mwonekano wa Demi Moore katika filamu ‘GI Jane’

Will Smith ampiga kofi Chris Rock kwa kumtania mkewe kwenye Jukwaa la Oscar
Africa East Africa

Will Smith ampiga kofi Chris Rock kwa kumtania mkewe kwenye Jukwaa la Oscar

Asia GambaMarch 28, 2022March 28, 2022

Baada ya kupigwa, Rock alibaki jukwaani amepigwa butwaa kwa sekunde kadhaa, kisha akasema usiku huo ulikuwa ni mkubwa sana kwenye historia ya televisheni.

Mashambulizi mawili nchini Somalia yaua watu 48 kabla siku ya uchaguzi
Africa Features

Mashambulizi mawili nchini Somalia yaua watu 48 kabla siku ya uchaguzi

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Taifa hilo la Pembe ya Afrika limeshuhudia mashambulizi mengi katika wiki za hivi karibuni huku likipitia mchakato wa uchaguzi uliochelewa kwa muda mrefu.

Kiongozi wa chama tawala cha zamani cha Burkina Faso akamatwa: mawakili
Africa Features People

Kiongozi wa chama tawala cha zamani cha Burkina Faso akamatwa: mawakili

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Kiongozi wa chama tawala cha zamani nchini Burkina Faso alikamatwa siku ya Jumapili baada ya kukosoa hali ambayo rais wa zamani Roch Marc Christian Kabore amewekwa na serikali tawala

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo