• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: April 2022

Watuhumiwa wawili wa ugaidi na askari wawili wafariki kwenye ajali nchini Tanzania
Africa

Watuhumiwa wawili wa ugaidi na askari wawili wafariki kwenye ajali nchini Tanzania

Asia GambaApril 28, 2022April 28, 2022

Ajali hiyo ilihusisha gari namba T.691 DBQ Scania,  likiwa na tela namba T.865 mali ya Kampuni ya Nyanza Bottling, likiwa linatokea Mwanza lililogongana na gari namba PT.3798 Toyota Landcruiser mali ya Jeshi la Polisi.

MCT, LHRC,: Katiba mpya isisubiri uchaguzi
Africa

MCT, LHRC,: Katiba mpya isisubiri uchaguzi

Asia GambaApril 28, 2022April 28, 2022

Baraza la Habari Tanzania (MCT) limesema Katiba mpya ni suala lenye utashi wa kisiasa hivyo mchakato wake unaweza kufanyika wakati wowote kwa kuwa ni hitaji la Watanzania wote na si vyama vya siasa pekee.

Mama amchoma mwanaye kwa maji ya moto kisa kula tambi bila ruhusa yake.
Africa

Mama amchoma mwanaye kwa maji ya moto kisa kula tambi bila ruhusa yake.

Asia GambaApril 28, 2022April 28, 2022

Chanzo cha tukio hilo ni mtoto huyo kuiba tambi ambazo ziliandaliwa kwa ajili ya chakula cha mchana, ndipo mama wa mtoto huyo alichukua hatua ya kumchoma kwa maji ya moto ambayo yalisababisha majeraha kwa mtoto

WHO,UNICEF YASEMA KUNA WASIWASI WA MLIPUKO WA UGONJWA WA SURUA
Africa

WHO,UNICEF YASEMA KUNA WASIWASI WA MLIPUKO WA UGONJWA WA SURUA

Asia GambaApril 28, 2022April 28, 2022

Taarifa ya UNICEF na WHO iliyotolewa jana jijini  New York, nchini Marekani na Geneva, Uswisi imesema, ongezeko la idadi ya wagonjwa wa surua kwa mwezi Januari na Februari mwaka huu ni dalili inayotia shaka juu ya hatari ya kuenea kwa ugonjwa huo na inaweza kuchochea mlipuko mkubwa na kuathiri mamilioni ya watoto.

Matamshi huru au ya chuki? Hofu baada ya Elon Musk kuinunua Twitter
Business / Finance Entertainment Features International People

Matamshi huru au ya chuki? Hofu baada ya Elon Musk kuinunua Twitter

Maureen MedzaApril 27, 2022April 27, 2022

Wanaharakati wa kiraia wana wasiwasi kwamba Musk,atawaruhusu watu wenye msimamo mkali waliopigwa marufuku kurudi kwenye jukwaa hilo.

Singapore yamhukumu kifo mtu mwenye ulemavu wa akili licha ya kilio kutoka kwa wanaharakati
Asia International Rights & Freedoms

Singapore yamhukumu kifo mtu mwenye ulemavu wa akili licha ya kilio kutoka kwa wanaharakati

Maureen MedzaApril 27, 2022July 2, 2024

Nagaenthran K. Dharmalingam alikamatwa mwaka wa 2009 kwa kusafirisha kiasi kidogo cha heroini, na alihukumiwa kifo mwaka uliofuata.

Kikosi kazi cha Rais Samia kuanza kupokea maoni ya wadau leo.
Africa

Kikosi kazi cha Rais Samia kuanza kupokea maoni ya wadau leo.

Asia GambaApril 27, 2022April 27, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana Dodoma na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kupitia kwa Katibu wa Kikosi Kazi hicho, Sisty Nyahoza, leo wadau watatu watatoa maoni yao katika ukumbi wa Adam Sapi Mkwawa katika ofisi ndogo za Bunge, Dar es Salaam.

Mwandaaji wa shindano la Miss Rwanda ashikiliwa kwa unyanyasaji wa kijinsia
Africa East Africa Features

Mwandaaji wa shindano la Miss Rwanda ashikiliwa kwa unyanyasaji wa kijinsia

Maureen MedzaApril 27, 2022April 27, 2022

Dieudonne Ishimwe, maarufu kama Prince Kid, alitiwa mbaroni kwa tuhuma za “uhalifu unaohusiana na unyanyasaji wa kijinsia,” Ofisi ya Upelelezi ya Rwanda (RIB) ilisema.

White House: US Vice President Kamala Harris tests positive for COVID
International Lifestyle & Health People Politics

White House: US Vice President Kamala Harris tests positive for COVID

Leah NgariApril 26, 2022April 26, 2022

“She has not been a close contact to the president or first lady due to their respective recent travel schedules,” said Harris’ press secretary, Kirsten Allen.

Fearful Gambians start to return home after Senegal offensive
Africa People Politics

Fearful Gambians start to return home after Senegal offensive

Leah NgariApril 26, 2022April 26, 2022

“I was laundering when I heard the gunshots… (it) scared us and we decided to leave,” said Mariatou Badjie, a resident of Karinorr.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo