• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: April 12, 2022

Man in gas mask shoots 10 people on Brooklyn subway
Crime & Justice North America

Man in gas mask shoots 10 people on Brooklyn subway

Aska MakoriApril 12, 2022July 2, 2024

The city fire department said six other people were wounded as panicked passengers fled the smoke-filled train

Mamilioni ya Wasomali wapo katika hatari ya njaa: Mashirika ya Umoja wa Mataifa
Africa Features

Mamilioni ya Wasomali wapo katika hatari ya njaa: Mashirika ya Umoja wa Mataifa

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Wasomali milioni sita au asilimia 40 ya watu sasa wanakabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula, kulingana na ripoti mpya ya Integrated Food Security Phase Classification

Treni ya umeme kutumia saa 6 Dar – Tabora
Africa East Africa

Treni ya umeme kutumia saa 6 Dar – Tabora

Asia GambaApril 12, 2022April 12, 2022

Treni zitakayotumia reli hiyo zitakuwa na mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa ambapo zitatumia saa sita kutoka Dar es Salaam hadi Tabora kwa treni ya abiria huku za mizigo zikitembea kilometa 120 kwa saa.

Osinachi Nwachukwu alifanyiwa ukatili wa kijinsia na mumewe kabla ya kifo chake – mwimbaji anadai
Africa Entertainment Features Gender People

Osinachi Nwachukwu alifanyiwa ukatili wa kijinsia na mumewe kabla ya kifo chake – mwimbaji anadai

Maureen MedzaApril 12, 2022April 13, 2022

Msanii mwenzake, Frank Edwards, alidai kwamba mwimbaji huyo alikuwa na mume mkatili ambaye alimpiga mara kwa mara kabla ya kifo chake.

Zelensky aomba kuhutubia Umoja wa Afrika
Africa Europe Features People

Zelensky aomba kuhutubia Umoja wa Afrika

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameomba kuhutubia Umoja wa Afrika, Rais wa Senegal Macky Sall alisema Jumatatu. Sall, mwenyekiti wa…

Sita wafariki kwenye ajali Tanga
Africa East Africa

Sita wafariki kwenye ajali Tanga

Asia GambaApril 12, 2022April 12, 2022

Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Tanga, Safia Jongo amesema, ajali hiyo imetokea eneo la Kwamdulu ambapo gari lililohusika katika ajali hiyo ni aina ya Coastal lenye namba za usajili T833 DMH.

Ahukumiwa kunyongwa kwa kuwaua kwa kukusuidia walinzi wawili
Africa East Africa

Ahukumiwa kunyongwa kwa kuwaua kwa kukusuidia walinzi wawili

Asia GambaApril 12, 2022April 12, 2022

Katika kesi hiyo ya Jinai Namba  47 ya mwaka 2020, Haule alifanya tukio hilo Septemba 2015 kwa kuwapiga kichwani kwa kutumia sululu Paul Nduruma na Aloyce Patsango kwa madai walikuwa wakimnyanyasa katika shughuli zake za ujenzi.

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya siku mbili nchini DR Congo: Msalaba Mwekundu
Africa East Africa Features Politics

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya siku mbili nchini DR Congo: Msalaba Mwekundu

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Waasi wa ADF, ambao wanafungamana na kundi la Islamic State kama mshirika wake wa Afrika ya kati, wamehusika na ghasia kali dhidi ya raia — mara nyingi kwa mapanga na silaha nyinginezo.

Ndugai ataka chanjo ya Ukimwi itengenezwe
Africa East Africa

Ndugai ataka chanjo ya Ukimwi itengenezwe

Asia GambaApril 12, 2022April 12, 2022

Ndugai ameibuka na hoja hiyo katika uzinduzi wa chanjo ya mifugo ya ugonjwa wa homa ya sotoka uliofanyika katika Wilaya ya Kongwa jijini Dodoma.

Mtafiti wa Colombia auawa na tembo nchini Uganda
Africa East Africa Features

Mtafiti wa Colombia auawa na tembo nchini Uganda

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Mtafiti kutoka Colombia amekanyagwa hadi kufa na tembo katika Mbuga ya Kitaifa ya Kibale

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo