Kombe la Dunia kufika Kenya katika ziara yake ya mataifa
Kwa mujibu wa sheria za Fifa, mbali na rais wa nchi, ni wachezaji waliokuwa sehemu ya timu iliyoshinda Kombe la Dunia pekee ndio wanaruhusa kushika kombe hilo.
Kwa mujibu wa sheria za Fifa, mbali na rais wa nchi, ni wachezaji waliokuwa sehemu ya timu iliyoshinda Kombe la Dunia pekee ndio wanaruhusa kushika kombe hilo.
Musk was named to join the Twitter board after buying a major stake in the firm and becoming its largest shareholder.
Zuma, who turns 80 on Tuesday, is accused of taking bribes from French defence giant Thales.
Nigerian Vice President Yemi Osinbajo becomes the latest figure to join the race to lead Africa’s most populous country.
Imeelezwa kuwa idadi ya Watanzania wanaojisaidia vichakani imepungua kutoka asilimia 5.7 mwaka 2017 hadi kufikia asilimia 1.4 Desemba 2021.
Mbowe alitoa kauli hiyo April 10, 2022 wakati wa ziara yake katika jimbo la Kawe jijini Dar es salaam, ikiwa ni kampeni ya mguu kwa mguu
Musk alitajwa kujiunga na bodi ya Twitter baada ya kununua hisa za asilimia 9.2 na kuwa mwanahisa wake mkubwa zaidi.
Kauli hiyo imetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Tanzania Bara, Ndugu Abdulrahman Kinana, Aprili 10, 2022, alipokuwa akizungumza na viongozi na baadhi ya wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam kwenye mkutano wa kumpokea na kumpongeza kwa kuchaguliwa na Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika Aprili 1, 2022 jijini Dodoma, kushika dhamana hiyo.
Conde 84 alikuwa rais wa kwanza wa Guinea kuchaguliwa kidemokrasia. Aliondolewa madarakani na maafisa wa jeshi mwaka jana na nafasi yake kuchukuliwa na Kanali Mamady Doumbouya
Chongolo amesema kumezuka tabia ya baadhi ya wanachama kufikiria zaidi Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa kutaka nafasi za ubunge na udiwani na kusema tabia hiyo inazorotesha shughuli za chama hicho.