• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: April 2022

Alpha Conde, Rais wa zamani wa Guinea ‘hatimaye yuko huru’
Africa Features People Politics

Alpha Conde, Rais wa zamani wa Guinea ‘hatimaye yuko huru’

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Conde alikuwa rais wa kwanza wa Guinea kuchaguliwa kidemokrasia mwaka 2010, aliondolewa madarakani na maafisa wa jeshi mwaka jana na nafasi yake kuchukuliwa na Kanali Mamady Doumbouya.

Watuhimiwa kufanya utekaji na kuwabaka warembo
Africa

Watuhimiwa kufanya utekaji na kuwabaka warembo

Asia GambaApril 25, 2022April 25, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jastin Masejo amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao na kuongeza kuwa kuna watuhumiwa zaidi wamekamatwa wakidaiwa kushirikiana na mtandao huo.

#Sudan: Ghasia katika jimbo la Darfur zasababisha vifo vya watu 168
Africa Features Politics

#Sudan: Ghasia katika jimbo la Darfur zasababisha vifo vya watu 168

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Darfur, ambayo imekumwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyozuka mwaka 2003, imeshuhudia ongezeko la vita na mauaji  tangu Oktoba mwaka jana

Nigeria: Mlipuko katika kiwanda haramu cha mafuta chawaua takriban watu 110
Africa Features

Nigeria: Mlipuko katika kiwanda haramu cha mafuta chawaua takriban watu 110

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Moto wa mabomba ya mafuta ni jambo la kawaida nchini Nigeria, kwa sababu ya wezi ambao huharibu mabomba ili kunyonya petroli na kuiuza kwenye soko haramu

Urusi yawawekea marufuku ya kusafiri Kamala Harris na Zuckerberg
Features International People Politics

Urusi yawawekea marufuku ya kusafiri Kamala Harris na Zuckerberg

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Urusi ilipiga marufuku ya kusafiri kwa Makamu wa Rais wa Amerika Kamala Harris, mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg na makumi ya Wamarekani mashuhuri na Wacanada kulipiza kisasi kwa vikwazo vilivyowekwa juu ya uvamazi wao nchini Ukraine.

#Kenya: Rais mstaafu Mwai Kibaki aaga dunia
East Africa Features People Politics

#Kenya: Rais mstaafu Mwai Kibaki aaga dunia

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Rais wa zamani wa Kenya Mwai Kibaki, ambaye aliongoza Kenya kwa zaidi ya muongo mmoja amefariki dunia,

Meneja wa mgodi mwenye asili ya China ahukumiwa kifungo Rwanda kwa kumnyanyasa mwajiriwa
Africa East Africa Features

Meneja wa mgodi mwenye asili ya China ahukumiwa kifungo Rwanda kwa kumnyanyasa mwajiriwa

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Raia wa China amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa kuwatesa wafanyakazi wa mgodi nchini Rwanda

Zaidi ya watoto milioni moja wa Kiafrika wapata chanjo ya kwanza ya malaria
Africa Features Lifestyle & Health

Zaidi ya watoto milioni moja wa Kiafrika wapata chanjo ya kwanza ya malaria

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Takriban asilimia 90 ya visa vya malaria duniani vimerekodiwa barani Afrika, ambapo watoto 260,000 hufa kutokana na ugonjwa huo kila mwaka.

Kenya kuandaa mazungumzo kati ya DR Congo na waasi
Africa East Africa Features Politics

Kenya kuandaa mazungumzo kati ya DR Congo na waasi

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Ofisi ya rais wa Kenya ilisema Alhamisi kwamba viongozi hao walikuwa wakitafuta kuanzisha kikosi cha kikanda ili kukomesha makundi ya waasi wanaoendesha shughuli zao katika eneo hilo.

CNN to close streaming service after one month
Business / Finance International

CNN to close streaming service after one month

Leah NgariApril 21, 2022April 21, 2022

CNN+ was billed as one of the most significant developments in the television channel’s history.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo