• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 16, 2022

EAC kusoma Bajeti kuu za serikali Juni 14.
Africa East Africa

EAC kusoma Bajeti kuu za serikali Juni 14.

Asia GambaMay 16, 2022May 16, 2022

Kutokana na mabadiliko hayo, baadhi ya Wizara zimepunguziwa siku za uwasilishaji wa bajeti zake kutoka siku mbili na sasa wabunge watachangia kwa siku moja tu.

Urusi: Mpango wa Uswidi na Ufini kutaka kujiunga na  NATO ni ‘kosa kubwa’
Europe Features International Politics

Urusi: Mpango wa Uswidi na Ufini kutaka kujiunga na NATO ni ‘kosa kubwa’

Maureen MedzaMay 16, 2022May 16, 2022

Urusi ilionya Jumatatu kwamba maamuzi ya Finland na Uswidi kujiunga na muungano wa kijeshi wa NATO yalikuwa makosa makubwa na Moscow itachukua hatua.

Halima na wenzake wafungua kesi mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama wa CHADEMA nchini Tanzania.
Africa East Africa

Halima na wenzake wafungua kesi mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama wa CHADEMA nchini Tanzania.

Asia GambaMay 16, 2022May 16, 2022

Tarehe 11 mwezi huu Baraza Kuu la CHADEMA lilitupilia mbali rufaa ya wabunge hao ambao walikuwa wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho, na hivyo kumlazimu Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika kuwasilisha barua kwa Spika kumtaarifu kuhusu jambo hilo ili aendelee na taratibu nyingine.

Mgombea urais wa Kenya Ruto amchagua msaidizi wa zamani wa Kenyatta kuwa mgombea mwenza
Features People Politics

Mgombea urais wa Kenya Ruto amchagua msaidizi wa zamani wa Kenyatta kuwa mgombea mwenza

Maureen MedzaMay 16, 2022May 16, 2022

Rigathi Gachagua, ambaye alihudumu kama msaidizi wa kibinafsi wa Kenyatta kati ya 2001 na 2006, alichaguliwa baada ya mchakato wa usiri wa miezi kadhaa

Somalia yamchagua Hassan Sheik Mohamud kama rais kwa mara ya pili
Africa Features People Politics

Somalia yamchagua Hassan Sheik Mohamud kama rais kwa mara ya pili

Maureen MedzaMay 16, 2022May 16, 2022

Mohamud, alikuwa rais kutoka 2012-2017, aliapishwa muda mfupi baada ya kura kuhesabiwa.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo