• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 18, 2022

Wezi wa miundombinu ya serikali wamkera Rais Samia
Africa East Africa

Wezi wa miundombinu ya serikali wamkera Rais Samia

Asia GambaMay 18, 2022May 18, 2022

Akizungumza  leo Mei 18, 2022 katika ufunguzi wa barabara ya Tabora, Koga – Mpanda KM 342.9, Rais Samia amesema miundombinu hiyo inatengenezwa kwa fedha nyingi za mikopo.

Mwanamke afanya ngono na mtoto wa darasa la tatu nchini Tanzania
Africa East Africa

Mwanamke afanya ngono na mtoto wa darasa la tatu nchini Tanzania

Asia GambaMay 18, 2022May 18, 2022

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, amesema tukio hilo lilitokea Mei 8, 2022  Kijiji cha Lumuli kilichopo halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Katambi: Kijana ambaye hajapata mkopo huenda ni Mkenya
Africa East Africa

Katambi: Kijana ambaye hajapata mkopo huenda ni Mkenya

Asia GambaMay 18, 2022May 18, 2022

Katambi amesema hayo leo Mei 18, 2022 bungeni mjini Dodoma, akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Sophia Mwakagenda, aliyehoji  vijana kutopata ajira kwa zaidi ya miaka sita sasa pamoja na kwamba kuna mfumo wa utoaji wa mikopo katika halmashauri , hivyo mfumo huo unawatupa  nje.

Rais wa Senegal amuunga mkono Gana Gueye baada ya shutuma za chuki dhidi ya wapenzi wa jinsia moja
Africa Europe Features Football International People

Rais wa Senegal amuunga mkono Gana Gueye baada ya shutuma za chuki dhidi ya wapenzi wa jinsia moja

Maureen MedzaMay 18, 2022May 18, 2022

Kiungo huyo wa kimataifa wa Senegal alikosa mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Montpellier Jumamosi ambapo wachezaji walipaswa kuvaa jezi za upinde wa mvua kuunga mkono harakati za LGBTQ.

Sauti Sol yatishia kumshatki Odinga na muungano wa Azimio juu ya Hakimiliki ya Muziki
Arts & Culture East Africa Entertainment Features People Politics

Sauti Sol yatishia kumshatki Odinga na muungano wa Azimio juu ya Hakimiliki ya Muziki

Maureen MedzaMay 18, 2022May 18, 2022

Sauti Sol ilikashifu muungano wa Azimio One Kenya Party inayoongozwa na Raila Odinga kwa kutumia wimbo wao “Extravaganza,” kwenye kampeini

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo