• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 26, 2022

African Union to tackle humanitarian, political crises
Africa East Africa People Politics

African Union to tackle humanitarian, political crises

Leah NgariMay 26, 2022May 26, 2022

According to the African Union, of the more than 30 million internally displaced Africans, more than 10 million are children aged under 15.

President: 11 babies killed in Senegal hospital fire
Africa Lifestyle & Health People

President: 11 babies killed in Senegal hospital fire

Leah NgariMay 26, 2022May 26, 2022

The city’s mayor Demba Diop said “three babies were saved”.

Biden atia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd
Features International Politics

Biden atia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Rais Joe Biden ameadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa pili wa mauaji ya George Floyd kwa kutia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi

Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano  wa maombi ya kitaifa
East Africa Features People Politics

Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano wa maombi ya kitaifa

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Safari Park jijini Nairobi, Uhuru na Ruto walikaa kwa utulivu kila mmoja akishiriki kwenye meza yake tofauti.

Polisi Tanzania yamshikilia mtuhumia wa ubakaji wa watoto watatu.
Africa East Africa

Polisi Tanzania yamshikilia mtuhumia wa ubakaji wa watoto watatu.

Asia GambaMay 26, 2022May 26, 2022

Mtuhumiwa anadaiwa kufanya ukatili huo Februari mwaka huu wakati watoto hao walipokuwa wameenda kuchanja kuni katika msitu wa Serikali wa Rwendimi

Mwenyekiti wa CWT Rombo auawa mwili wake watupwa barabarani
Africa East Africa

Mwenyekiti wa CWT Rombo auawa mwili wake watupwa barabarani

Asia GambaMay 26, 2022May 26, 2022

Tukio hilo limetokea leo majira ya saa 10 alfajiri eneo la Mrere Mashati,karibu na shule ya Sekondari Shauritanga ambapo mwili wa mwalimu Hiza umekutwa barabarani huku damu zikiwa zinachuruzika kwenye lami

Wazima moto wafaulu kudhibiti moto katika bandari ya Red Sea nchini Sudan
Africa Features

Wazima moto wafaulu kudhibiti moto katika bandari ya Red Sea nchini Sudan

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Moto huo ulioenea kwa kasi kwa saa kadhaa, ulizuka katika eneo la kushusha mizigo kwenye bandari siku ya Jumatano.

Takriban watu watatu wakatwa vichwa katika mashambulizi Msumbiji
Africa Features Politics

Takriban watu watatu wakatwa vichwa katika mashambulizi Msumbiji

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Takriban watu watatu wamekatwa vichwa kutokana na kuzuka upya kwa ghasia za Kiislamu kaskazini mwa Msumbiji, polisi walisema Jumatano. “Ijumaa…

Kanuni mpya ya kikokotoo kuleta neema kwa wastaafu Tanzania
Africa East Africa

Kanuni mpya ya kikokotoo kuleta neema kwa wastaafu Tanzania

Asia GambaMay 26, 2022May 26, 2022

Kikokotoo hiki pia kinaongeza pensheni ya mwezi kutoka asilimia 50 ya sasa hadi asilimia 66 kwa waliokuwa wanachama wa PSPF na LAPF ambao ni asilimia 19 ya wanachama wote wa mifuko ya hifadhi ya jamii.

“Ondoka barani Afrika,” waandamanaji mjini Pretoria waiambia Ufaransa
Africa Features People Politics

“Ondoka barani Afrika,” waandamanaji mjini Pretoria waiambia Ufaransa

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Waandamanaji kutoka chama cha EFF Afrika Kusini waliandamana Jumatano hadi kwenye ubalozi wa Ufaransa mjini Pretoria kuitaka Ufaransa iondoke Afrika.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo