• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

Halima na wenzake wafungua kesi mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama wa CHADEMA nchini Tanzania.
Africa East Africa

Halima na wenzake wafungua kesi mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama wa CHADEMA nchini Tanzania.

Asia GambaMay 16, 2022May 16, 2022

Tarehe 11 mwezi huu Baraza Kuu la CHADEMA lilitupilia mbali rufaa ya wabunge hao ambao walikuwa wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho, na hivyo kumlazimu Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika kuwasilisha barua kwa Spika kumtaarifu kuhusu jambo hilo ili aendelee na taratibu nyingine.

Mgombea urais wa Kenya Ruto amchagua msaidizi wa zamani wa Kenyatta kuwa mgombea mwenza
Features People Politics

Mgombea urais wa Kenya Ruto amchagua msaidizi wa zamani wa Kenyatta kuwa mgombea mwenza

Maureen MedzaMay 16, 2022May 16, 2022

Rigathi Gachagua, ambaye alihudumu kama msaidizi wa kibinafsi wa Kenyatta kati ya 2001 na 2006, alichaguliwa baada ya mchakato wa usiri wa miezi kadhaa

Somalia yamchagua Hassan Sheik Mohamud kama rais kwa mara ya pili
Africa Features People Politics

Somalia yamchagua Hassan Sheik Mohamud kama rais kwa mara ya pili

Maureen MedzaMay 16, 2022May 16, 2022

Mohamud, alikuwa rais kutoka 2012-2017, aliapishwa muda mfupi baada ya kura kuhesabiwa.

Rais wa UAE Sheikh Khalifa afariki akiwa na umri wa miaka 73
Features International People

Rais wa UAE Sheikh Khalifa afariki akiwa na umri wa miaka 73

Maureen MedzaMay 13, 2022May 13, 2022

Sheikh Khalifa alichukua wadhifa wa rais wa UAE mnamo Novemba 2004, akimrithi baba yake kama mtawala wa 16 wa Abu Dhabi, eneo tajiri zaidi kati ya falme saba za shirikisho hilo.

Elon Musk asema mpango wa kununua Twitter ‘umesitishwa kwa muda’
Business / Finance Features International People

Elon Musk asema mpango wa kununua Twitter ‘umesitishwa kwa muda’

Maureen MedzaMay 13, 2022May 13, 2022

Tangazo la Ijumaa lilisababisha hisa za Twitter kushuka kwa asilimia 20

Nigeria: Mwanafunzi wa Kikristo apigwa mawe na umati hadi kufa kwa shtuma za kukufuru
Africa Features

Nigeria: Mwanafunzi wa Kikristo apigwa mawe na umati hadi kufa kwa shtuma za kukufuru

Maureen MedzaMay 13, 2022May 13, 2022

Wanafunzi Waislamu kaskazini magharibi mwa Nigeria walimpiga kwa mawe mwanafunzi Mkristo hadi kufa na kuchoma maiti yake baada ya kumtuhumu kwa kumkufuru Mtume Muhammad

Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania watoa neno mauaji ya mwandishi wa Al-Jazeera
Crime & Justice Tanzania

Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania watoa neno mauaji ya mwandishi wa Al-Jazeera

Asia GambaMay 12, 2022July 2, 2024

Mwanamke huyo alikuwa amevalia fulana yake iliyoandikwa “PRESS”, hata hivyo alipigwa risasi licha ya kuvaa kizibao chenye alama hiyo ambayo ilidhaniwa itamlinda kama mwandishi wa habari katika maeneo yenye migogoro.

Wizara ya Maji Tanzania yaomba bajeti ya bilioni 709.36 kwa matumizi ya wizara hiyo
Africa East Africa

Wizara ya Maji Tanzania yaomba bajeti ya bilioni 709.36 kwa matumizi ya wizara hiyo

Asia GambaMay 12, 2022May 12, 2022

Jumla ya bajeti ya maendeleo ni Shilingi Billioni 657.8 ambapo kati ya fedha hizo, Shilingi Billioni 407.06 sawa na asilimia 61.87 ni fedha za ndani na Shilingi  Billioni 250.8 sawa na asilimia 38.13 ni fedha za nje.

Ndege iliyokuwa na abiria 11 yaanguka nchini Cameroon
Africa Features

Ndege iliyokuwa na abiria 11 yaanguka nchini Cameroon

Maureen MedzaMay 12, 2022May 12, 2022

Lilikuwa ni janga kubwa la kwanza la anga kuripotiwa Cameroon tangu 2007, wakati ndege ya shirika la ndege la Kenya Airways iliyokuwa na watu 114 kuanguka nchini humo

Tembo wawaua wazimbabwe 60 mwaka huu
Africa Features Nature

Tembo wawaua wazimbabwe 60 mwaka huu

Maureen MedzaMay 12, 2022May 12, 2022

Zimbabwe inashikilia nafasi ya pili kwa idadi kubwa ya tembo duniani ikiwa na tembo 100,000

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo