• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

Katiba mpya na Tume huru yanogesha mkutano wa Baraza Kuu la Chadema Tanzania.
Africa East Africa

Katiba mpya na Tume huru yanogesha mkutano wa Baraza Kuu la Chadema Tanzania.

Asia GambaMay 12, 2022May 12, 2022

Katika mkutano huo ambao uliwakutanisha pia wanasiasa wa siasa za upinzani kutoka ndani na nje ya Tanzania, wanasiasa hao kwa nyakati tofauti wamesema kuwa hoja hizo zinapaswa kufanyika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025.

Mbowe aionya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa Tanzania
Africa East Africa

Mbowe aionya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa Tanzania

Asia GambaMay 11, 2022May 11, 2022

Mwanasiasa mwiba wa siasa za upinzani nchini Tanzania, ameyasema hayo leo wakati akihutubia Baraza Kuu la Chadema, lililowakutanisha wajumbe takribani 400 jijini Dar es salaam.

Papa Francis ahimiza utulivu nchini Sri Lanka
Asia Features International Politics

Papa Francis ahimiza utulivu nchini Sri Lanka

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Polisi wanasema watu wanane wamefariki tangu Jumatatu, baada ya maandamano na machafuko kuzuka kupinga kudorora kwa uchumi.

Burkina Faso imemuamuru Blaise Compaore kulipa fidia kutokana na mauaji ya Thomas Sankara
Africa Features People Politics

Burkina Faso imemuamuru Blaise Compaore kulipa fidia kutokana na mauaji ya Thomas Sankara

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Mnamo Aprili 6, Compaore, Kafando na Diendere walihukumiwa kifungo cha maisha kwa kupanga mauaji hayo, huku wengine wakifungwa miaka mitatu hadi 20 jela.

Somalia yasajili wagombea 39 kwa kura za urais
Africa Features People Politics

Somalia yasajili wagombea 39 kwa kura za urais

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Uchaguzi huo umecheleweshwa kwa mwaka mmoja na umekumbwa na ghasia mbaya na mzozo wa kuwania madaraka kati ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed, na Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble.

Polisi wa Tanzania, watumia mabomu kuwatawanya wanafunzi waliofunga barabara mkoani Geita
Africa East Africa

Polisi wa Tanzania, watumia mabomu kuwatawanya wanafunzi waliofunga barabara mkoani Geita

Asia GambaMay 10, 2022May 10, 2022

Polisi mkoani Geita wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Buseresere waliofunga Barabara Kuu ya Bukoba-Mwanza baada ya gari la kampuni ya Fikoshi kumgonga mwanafunzi na kufariki dunia papo hapo.

Tanzania: Wachoma gari la Hakimu kisha watokomea
Africa East Africa

Tanzania: Wachoma gari la Hakimu kisha watokomea

Asia GambaMay 10, 2022May 10, 2022

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana ambapo watu wasiofahamika walichoma moto gari la Hakimu huyo ambaye anaishi kwenye nyumba za Mahakama

Malkia akosa kufunguliwa kwa bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu 1963
Europe Features International People Politics

Malkia akosa kufunguliwa kwa bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu 1963

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Malkia Elizabeth II mwenye umri wa miaka 96 kwa kawaida husimamia tukio hilo lililojaa fahari

Mitaala 51 ya elimu yahakikiwa Tanzania
Africa

Mitaala 51 ya elimu yahakikiwa Tanzania

Asia GambaMay 10, 2022May 10, 2022

Serikali kupitia Baraza la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi, imehakiki mitaala 51 kati ya 150 iliyoandaliwa na vyuo vya elimu ya ufundi kwa lengo la kuhakikisha kuwa mafunzo yanayotolewa yanakidhi mahitaji ya soko la ajira.

Bilioni 100 zatolewa kukabiliana na upandaji bei wa Mafuta Tanzania
Africa East Africa

Bilioni 100 zatolewa kukabiliana na upandaji bei wa Mafuta Tanzania

Asia GambaMay 10, 2022May 10, 2022

Akiwasilisha taarifa ya hali ya mafuta bungeni, waziri Makamba amesema, ruzuku hiyo haita athiri miradi ya serikali inayoendelea na uamuzi huo ni hatua ya serikali ya muda mfupi kupunguza ongezeko la bei ya mafuta kabla ya Mwaka mpya wa fedha.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo